Nuru Ndani Yako

Nuru Ndani Yako
Nuru Ndani Yako
Subscribe For Free Updates!

We'll not spam mate! We promise.

KARIBU SANA

HONGERA KWA KUCHAGUA BLOG HII.MAISHA NI UCHAGUZI...NA KILA UCHAGUZI NI SAHIHI....KILA UCHAGUZI UNA MATOKEO YAKE.......KUCHAGUA KUSOMA YALIYO KATIKA BLOG HII KUTAKUFANYA UJITAMBUE,,UUJUE UWEZO MKUBWA ULIO NDANI MWAKO NA HIVYO KUFIKIA MAFANIKIO UNAYOYAKUSUDIA........WEWE NI ZAIDI YA UJIONAVYO,NI ZAIDI YA UJIPIMIAVYO.....UTATAMBUA YA KUWA MUNGU AMBAYE KILA UCHAO WATU WANAMTAFUTA...YU NDANI MWAKO.....UTATAMBUA KUWA U MWANGAZA.....NA UTATAMBUA JINSI YA KUUTUMIA KUWAMULIKA WENGINE...NA KUIFANYA NURU YA MUNGU ILIYO NDANI MWAKO IONEKANA KWA WENGINE-PONGU JOSEPH

Tuesday, June 26

                                                    SOTE TUMEITWA

Monday, June 25

IPO SAUTI ,SAUTI KUU NDANI MWAKO
Kila mmoja ameumbwa akiwa na sauti kuu ndani mwake....ni sauti ambayo haijifichi....ni sauti ambaye hutufanya tuwajali wengine,kuwaheshimu wengine na kuwachukulia katika hali ya huruma,usawa na undugu.....ni sauti ambayo hakuna anayeweza kuikataa.... sauti hii huitwa upendo......sauti hushinda yote......ni upendo tu ndio unaoweza kusuluhisha na kuondoa kila aina ya chuki,manyanyaso,majivuno na kejeli......ni sauti hii pekee inayoweza kumfanya adui kuwa rafiki mkubwa...ni sauti hii ambayo ipop ndani yetu...sauti hii huitwa Mungu...ipo kwa kila mmoja wetu.....tuisikilize sauti hii ili kuufanya ulimwengu kuwa sehemu bora ya kuishi

Saturday, June 23

MWANANGU MPENDWA
je wafahamu faida ya kujitolea,je unajitoa vipi kwa wengine?
wapo wanaotoa ili wapate kujulikana.....hawa thawabu yao ni kujulikana,
wapo wanaotoa ili kupata sifa...thawabu yao ni sifa......
wapo wanaotoa kwa shinikizo......hawa hudumu kwa shinikizo
ipo kaanuni moja.....ya kwamba kila atoaye,hupata sawia na anavyotoa
ukitoa kwa roho iliyokunjamana,utapata kwa roho ya kukunjamana,ukitoa kwa shinikizo,utapata kwa shinikizo.....mwanangu....nikupe siri,ya kuwa ipo faida kubwa katika kutoa ,kuliko kupokea......jifunze kujitolea kuliko kupokea,toa pasipo tegemeo la kurudishiwa...ukitegemea kutoa ili nawe upewe,utavunjwa moyo,kwa sbbu hutapata kama ulivyotegemea....lkn ukitoa pasipo tegemeo la kupata,utapata kikubwa pasipo tegemeo...hii ni kanuni ya kweli...
jitolee wakati wowote pasipo kujali rangi,kabila,dini wala jinsia....wengi hutoa kwa ubaguzi...nakwambia nao watapata kwa ubaguzi

kujitole

WEWE NI JINSI UFIKIRIVYO
kama unafiri unaweza,umeweza,
kama unafikiri utashindwa,umeshindwa,
kama unafikiri wengine wana uwezo kuliko wewe ,ukatia uoga basi ndivyo utakavyokuwa....
chukua mfano..mwanafunzi anapoweka wazo kuwa hesabu ni ngumu,basi hata anapopewa hesabu ndogo hushindwa......si kwa sbbu hyo hesabui ni ngumu,bali kwa sababu,ya wazo lililotoka kwa mwaNAfunzi...na hvyo akili na moyo ukatimiza.......
usiushushe chini ya kiwango uwezo ulionao......wazia mema juu yako...waza kufanya makubwa.,......
waliotengeneza ndege,magari,simu,komputa na kila kitu......
hawakuwa wasomi wa kukariri masomo drsani,
hawakuwa matajiri
hawakuwa na vichwa viwili
walianza na kuwaza na kuamini uwezo wao wa kufanya makuu,
walitambua ya kuwa yule Mungu ambao wengine wanamtafuta huku nakule
yupo ndani mwao
wakatumia kila uwezo huo kutimiza ndoto zao........kwa ninii isiwe mimi,kwanini isiwe wewe,wao waweze wana nini,na kwa nn ss tushindwe.....
JINSI MTU AJIWAZIAYE....NDIVYO HUWA