Nuru Ndani Yako

Nuru Ndani Yako
Nuru Ndani Yako
Subscribe For Free Updates!

We'll not spam mate! We promise.

KARIBU SANA

HONGERA KWA KUCHAGUA BLOG HII.MAISHA NI UCHAGUZI...NA KILA UCHAGUZI NI SAHIHI....KILA UCHAGUZI UNA MATOKEO YAKE.......KUCHAGUA KUSOMA YALIYO KATIKA BLOG HII KUTAKUFANYA UJITAMBUE,,UUJUE UWEZO MKUBWA ULIO NDANI MWAKO NA HIVYO KUFIKIA MAFANIKIO UNAYOYAKUSUDIA........WEWE NI ZAIDI YA UJIONAVYO,NI ZAIDI YA UJIPIMIAVYO.....UTATAMBUA YA KUWA MUNGU AMBAYE KILA UCHAO WATU WANAMTAFUTA...YU NDANI MWAKO.....UTATAMBUA KUWA U MWANGAZA.....NA UTATAMBUA JINSI YA KUUTUMIA KUWAMULIKA WENGINE...NA KUIFANYA NURU YA MUNGU ILIYO NDANI MWAKO IONEKANA KWA WENGINE-PONGU JOSEPH

Friday, August 30

KWA SABABU HATUVIONI HIVI NDANI MWETU,HATUWEZI KUWAPA WENGINE



Tuanze kwa kutafakari nyakati  hizi ambazo hutokea katika maisha yetu  mara kadhaa.
kuna nyakati za magumu na upweke ambazo hutufunza

Ni zile nyakati ambazo  unajihisi ukiwa mpweke na kutengwa.Ukihisi ya kuwa hakuna hata mmoja anayekusikilizane. Unapata hisia kuwa upo peke yakojapokuwa wapo watu wengine unaoishi nao na licha ya kuwa unatambua kuwa dunia imejaa watu wengi na viumbe wengi wanaokuzunguka.

Ni kweli kuwa licha ya kuwa dunia imezunguka,ni wewe ndiye uijazayo na unayeisanifu.Wewe kama nafsi watosha.Na unabaki wakati ambao aliyebaki kwako ni Mungu.

Nyakati hizi  hutokea pale unapokuwa unajihisi kuwa umekosa kitu(vitu) ulivyovihitaji maishani,na hata wakati kunapohisi kuwa una kila kitu ulichokihitaji maishani mwako.Pia huja katika nyakati ambazo karibu kila kitu ulichokuwa nacho umekipoteza ama umepewa kila kitu ambacho ulikipoteza.

Nyakati hizi zinapofika , ni nyakati za kupona  na kuachia majeraha  mengi ambayo yalikuwa yakikurudisha nyuma kwa muda mrefu maishani mwako.Na ni nyakati za uvumbuzi wa chemchem ndani mwako.Ni kipindi cha giza kiletacho mwanga.
Na katika nyakati hizi bado kuna kitu muhimu ambacho moyo wako unakihitaji sana na ambacho wengi hukitafuta kwa muda mrefu maishani-Ni kupendwa kwa dhati na kuthaminiwa..
 Je kuna yeyote anayenipenda na kunidhamini kwa dhati jinsi nilivyo?.Ni maswali ambayo utajiuliza sana katika nyakati hizi za ugunduzi.

Tumekuwa tukidhani kwamba tunaweza kupata upendo wa dhati na thamani ya kweli toka kwa wengine.Tumetafuta kwa muda sana upendo toka kwa ndugu,marafiki na majirani.Tumetafuta kwa wale tuliowaamini kwa dhati na mara nyingi kuishia kwenye kuumia.

Tukaingia kuutafuta upendo na thamani ndani yetu lakini mara nyingi tumeshindwa kuupata.Hivyo kushindwa kuutambua ndani mwetu kumetupelekea kushindwa kutoa kwa wengine. Na kwa vile tumeshindwa kuupata kwetu tumeitafuta tunapodhani upo ,tunaokosa na kuishia kuogopa kuweka matumaini yetu huko tulipodhani upo.

Na hivyo ndivyo itokeavyo,
Tunatafuta pale ambapo hatukuhifadhi.Na kama hatukuuweka upendo popote vivyo hivyo hatuwezi kuupata.Kile ambacho hatukitoa maishani hatuwezi kukipata kwa sababu hapa duniani sisi ndie wasanifu na wabomoaji.

Kama tunakosa kusamehewa ,ni kwa sababu hatukupata kusamehe.Kama hatuthaminiwi ni kwa sababu hatukupata kuijenga thamani sisi wenyewe.Kama hatuvumiliwi, ni kwa sababu hatukujenga uvumilivu  sisi wenyewe.Kama hatupati haki na usawa ni kwa sababu hatukuanza kuijenga ndani mwetu.Kama hatuupati upendo ,basi ni kwa sababu hatukupata kuujenga upendo ndani mwetu. Na kama hakuna ambaye anapata thamani toka kwa wengine,ni kwa sababu hatukuanza sisi kuijenga ndani mwetu.

Mambo yote haya ni lazima yaanze ndani kwetu sisi kisha yaende kwenye maisha ya wengine.
Kwa wengi wetu, tumekosa kujipa thamani yetu sisi na kujipenda , ni havyo ni vigume kutoa kwa wengine.Wengine wengi wanahisi hawana stahili ya mambo yote hayo .Tunajitazama sisi kama dhaifu kuliko wengine ama bora kuliko wengine.

Hatuuoni uzuri uliopo ndani mwetu uliojazwa na uzuri wa Muumba.Hatuoni uaminifu ndani mwetu.Hatuoni usafi ndani mwetu.
Kwa sababu hatuvioni hivi vyote ndani mwetu,hatuwezi kuwapa wengine.
Lakini  PIA kwa sababu si kwamba sisi ni vipofu mioyoni mwetu,tunaviona kwa wengine na kuvihitaji tusitambue kuwa tunavyo.Ni mara nyingi tunaona upendo kwa wengine,tunaona huruma kwa wengine,tunauona usafi wa moyo kwa wengine,tunayaona matumaini kwa wengine. Hivyo kwa kuviona kwa wengine, tunajaribu kutenda kwa baadhi yao lakini si ndani mwetu
mara nyingi tunaona upendo,huruma kwa wengine

Je tunaweza kujitendea nafsii zetu?

Mara nyingi tunashindwa kwa sababu ya vidonda tulivyonavyo.
Kwa sababu ya vidonda tulivyonavyo,tunashindwa pia kutibu majeraha ya wengine.Hivyo hatuthamini jinsi dunia inavyotuhitaji kila mmoja kwa nafsi yetu.
Tunashindwa kutambua kuwa dunia inahitaji kile kitokacho ndani mwetu ikiwemo upendo,usawa,haki,thamani kwa wengine,uvumilivu na kujitolea.Tunaishia kuilamu dunia tusijue kuwa ni sisi ndio tulioanza kuisanifu.Na hivyo tunaweka picha ndani mwetu kuwa dunia ni mbaya na onevu tena sehemu ya kupita kwa machungu.

Hatuwezi kupata kutoka katika dunia vile ambavyo hatukuvipanda. Na sasa tunapaswa kukumbuka hapa kuwa : Chochote ambacho hatukukipanda duniani,hatuwezi kukipata katika dunia hiyohiyo.Tunavuna tulichopanda
Hapa ndipo unapokuja wakati tunapogundua kuwa sisi ndio wasanifu wa dunia na kila kilichomo.Ni wasanifu wa maisha ya leo na ya kizazi kijacho.Hakuna atakaye tupatia chochote kile ambacho hatukuanza sisi kukipanda na kukitoa kwa dunia hii tuishimo.Na mara nyingi tunamuomba Mungu na wakati mwingine kumlaumu kwa kutotupatia kileambacho hatukuanza sisi kukitengeneza na hata kukitoa kwa wengine pale tulipostahili kufanya hivyo
Nadhani ni wakati kwa viongozi wetu wa dini kuanza kufundisha hili.

Tunaweza kuanza kuona mifano katika kati mahusiano yetu.Kama huwezi kumsamehe unayeishi nae,unashindwa kumpenda,kuishi nae kwa amani na uhuru na hata kumvumilia,ni vigumu kutarajia kupata kutoka kwa huyohuyo unayeishi nae na kulala upendo,thamani,uvumilivu,uhuru,amani na thamani ya kweli.Tutapata kadiri tulivyotoa

Huwa tunafikiri kuwa  ndani ya mahusiano,mwenzi atakupatia vitu ambavyo unajihisi huna.Tunadhani tutapata upendo ambao sisis hatuutoi,msamaha ambao sisi wenyewe hatuutoi.Ni huu ni moja ya uongo mkubwa tunaoajidanganya ndani ya nafsi zetu.

Tunapotamani kupatiwa pasipo kutoa,mwisho wake kila kitu hufifia,kasha chuki huingia na kasha mahusiano hufa.Kisha tunagundua kuwa ni sisi wenyewe tulijidanganya.Sasa tiunatambua kuwa hakuna pa kukimbilia zaidi ya Mungu. Tunarudi kwa Mungu na kumwambia…"Tafadhali Mungu wangu naomba unisamehe.Naomba unijalie amani na upendo,nijalie uvumilivu na moyo wa kujitolea.Nakuomba baba unijalie hivi nami niwagawie wenzangu."

Kwa sasa dunia ipo kwenye machafuko na chuki. Majivuno,visasi na dharau vimetawala.Tumejenga wenyewe tena toka ndani mwetu.Na muda si mrefu baada ya mambo haya kukithiri,Binadamu watatambua kuwa sasa tutavipata kwa Mungu,naye ni Muweza na chemchem ya kila kitu.

Na wakati huo binadamu watatambua kuwa hakuna utengano kati ya Muumba,chemchem ya kila jambo na Nafsi ya kila binadamu.Binadamu watatambua kuwa miili yetu imebeba nafsi ndani,ambapo ndiko hekalu la chemchem ya kila jambo huishi. Kila mmoja atatambua umuhimu wa nafsi yake na jinsi anavyohusika katika ujenzi wa dunia.Kila mmoja ataanza kuchukua hatua katika kutambua matokeo ya kila jambo analotenda.

Kila nafsi itajifunza kupanda na kutaraji mavuno.Kila nafsi itathamini nafsi nyingine na kila nafsi itatambua kuwa inahusika kujenga dunia mpya na  haitakuwa tayari kulaumu dunia na kudai dunia kile ambacho haikukipanda wala kukitoa.Kisha dunia itakuwa sehemu bora ya kuishi

Ndani mwako kuna pumziko la kweli,furaha,amani,nuru ya kweli na chemchem ya uumbaji wa Mungu ambayo Mungu amekupa na kukuleta hapa duniani.Ukisikiliza moyo wako unaweza kutambua mengi yaliyo ndani mwako....Kazi yako ukiwa hapa duniani ni kutoa ulichonacho,kilicho ndani mwako kwa ajili ya wengine

Mpaka sasa wachache wanalitambua hili.Na wasiotambua huilamu dunia kila kukicha.Na hivyo wasio tayari kutambua hili watasubiri mpaka ule wakati watakapolia na kugundua hakuna zaidi ya Mungu na kasha kugundua hekalu la chemchem yake ndani mwao . Hii itakuja bada ya kubomoa mengi…ndoa,familia,amani,upendo na kIsha nafsi NA baadae kufanya juhudi kujijenga upya

Kila mmoja akiwa kama nafsi huru anapaswa kuchukua hatua,hasa kutambua kuwa hakuna mwingine zaidi ya Mungu, na kasha kuchimba ndani kutambua kuwa sisi ni hekalu iishipo nuru na chemchem ya kila tunachokihitaji

Unapoanza kumuona Mungu katika kila kiumbe kinachokuzunguka unatambua kuwa sasa umezaliwa upya.Sauti yake inakuwa ikiongea nawe ndani mwako toka ndani yako.Unatambua kuwa Mungu hayupo mbali nawe bali yupo ndani mwako wakati wote.Unaruhusu nguvu na chemchem ya kila ushindi kufanya kazi ndani yako na kukupa nafasi ya kugundua nguvu hii iliyo ndani mwako na kuitumia kuifanya dunia kuwa sehemu bora kwa viumbe wote
.Mungu ametupatia uwezo mkubwa wa kuyafanya maisha yetu kuwa yenye faida kwa wengine,na husubiri maamuzi yetu ili kutuonesha njia.Tunapokuwa tayari anatufundisha maana ya kuwa hapa na thamani ya maisha yetu . Ndipo unapomjua tena si kama kiumbe cha kutisha ama kisichoonekana lakini kama sehemu muhimu ndani mwako.Kisichoonekana ndani mwetu kinazaliwa upya na kuonekana kwa kila anayekuzunguka.Kisha hutupatia kila uwezo na kuingia ndani ya kila kilicho mwilini mwetu kwa maelfu,tayari kwa kumtumikia kwa njia mbalimbali. Tunajenga dunia mpya yenye matumaini na furaha


Maisha yako yanaongea

 
matendo yako kwa wengine huonesha jinsi ulivyo

Ukitambua kuwa maisha yako ni ya thamani kwako na kwa wengine,unafungua ndani ya moyo wako kuishi kwa dhati.Sauti ndani mwako inaanza kusikika kwa viumbe wengine.Unapata thamani zaidi kupita vito vya thamani na zaidi ya fedha.
Maisha yako yanakuwa mwanga kwa viumbe wote.Unaanza kutumia kila kipawa na nafasi unayopewa na Muumba kwa ajili ya wote kwa utukufu wake yeye.Maisha yako yanaongea

Wednesday, August 28

PENDEKEZA BLOGU HII KWENYE SHINDANO LA BLOG 2013



 blog award
Kwa wasomaji wa makala mbalimbali kupitia  blog hii  hasa wale ambao kwa njia moja ama nyingine,makala mbalimbali zimewagusa na hata kuwasaidia katika nyanja mbalimbali ,nawaomba  kuipendekeze blog hii iitwayo KWA MWANANGU MPENDWA kwenye shindalo la blog Bora Tanzania kwa mwaka 2013.
Shindano hili lenye lengo la kuwatangaza bloggers mbalimbali wa Tanzania linaanza na hatua ya pendekezo la blog kuanzia tarehe 02/08/2013 hadi 30/08/2013.
Kuingia kwa blog hii kwenye shindano hili si kwa lengo la manufaa binafsi bali ni njia ya kuwafikishia ujumbe na kuwaamsha wengine wajitambue.Tukumbuke kuwa sisi sote tunategemeana.

Na ili blog hii iweze kuingia kwenye shindano na kushinda, ni muhimu kwa wewe kuipendekeza na baadae kuipigia kura.

Tafadhali saidia wengine wapate ujumbe  kwa kuipendekeza blog hii katika vipengele vifuatavyo;
BEST CREATIVE WRITING BLOG
BEST EDUCATIONAL BLOG
BEST INSPIRATION BLOG

JINSI YA KUPENDEKEZA
Andika email kwenda tanzanianblogawards@gmail.com

Body andika pendekezo kati ya haya ama yote kadiri utakavyovutwa nafsini mwako;

Best Creative Writting Blog,
Best Educational Blog,
Best Inspiration Blog
Asante kwa ushirikiano wako na endelea kuwashirikisha wenzako makala za blog hii.

KWA MAELEZO ZAIDI;
Vipengele vya Kushiriki na Sheria za Shindano la Mwaka Huu 2013
Hii post ni kwa kiswahili....lakini maelekezo yake ni sawa na hivyo iliyopita
Tafadhali soma vizuri. Mwaka huu tumebadilisha,vipengele vya shindano letu na sheria ya shindano letu.  Kwa blog yako au blog unayotaka ipendekezwe tafadhali wataarifu bloggers hao, hatutaki kushirikisha bloggers ambao hawataki kuhusishwa katika shindano hili. Sasa ili tujue kuwa blogger huyo unayempendekeza amekubali au anajua kushirikishwa kwake katika shindano hili mwambie alink blog yake katika shindano letu.
Jinsi ya kulink
1. Aandike post kuhusu shindano hili na kuwataarifu wasomaje wake katika post hiyo alinki kwetu...Tanzanian blog awards link. 
2. Kama blog unayoipendekaza hatafanya hivyo blog yake haitashirikishwa
3. Unaweza kupendekeza blog katika vipengele vingi upedavyo lakini katika kila email unayotuma ni blog moja tu utaruhusiwa kuipendekeza kwa wakati mmoja
mfano:  Kwenye subject unaandika jina la blog unayotaka kuipendekeza 
              tanzanianblogawards.blogspot.com
Kwenye body ya email unaandika vipengele unayotaka blog hiyo ishirikishwe
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
etc etc  
4. Email iwe ni ya ukweli kama tukiwa tunataka kuwasiliana na wewe kuhusu link ya blog uliyopendekeza tuweze kufanya hivyo na tuma mapendekezo yako kwa hii hapa Email


nomination@bloggersassociationoftanzania.com au tanzanianblogawards@gmail.com
5. Mwanzo wa kupokea mapendekezo hayo ni
Tarehe 17/8/ 2013 saa 12:01am mpaka tarehe 30/8/2013 saa 11:59pm saa za Africa mashariki
Vipengele 
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
Best Business Blog
Best Creative Writing Blog
Best Design/Graphic Design Blog
Best Educational Blog
Best Entertainments
Best Food Blog
Best General Blog
Best Inspiration Blog
Best Newcomer Blog
Best News Blog
Best Photography Blog
Best Political Blog
Best Religion Blog
Best Sports Blog
Best Technology Blog
Best Tots Blog  (17 yr old and below)
Best Travel Blogs


 blog award
Kama wewe ni msomaji wa makala mbalimbali kwenye blog hii na kwa namna moja zimekusaidia ama kukuhamasisha naomba uipendekeze blog hii iingie kwenye shindano la blog Tanzania.
  Kama blog hii itafanikiwa kuingia kwenye shindano hilo na kushinda ni dhahiri yaliyomo humu yatawafikia wengi zaidi na tukaendelea kusaidiana ili kufikia malengo yetu kwa pamoja.
  Na ili blog hii iweze kuingia kwenye shindano na kushinda, ni muhimu kwa wewe kuipendekeza na baadae kuipigia kura.
  Tafadhali sana chukua muda wako kidogo kwa kuipendekeza blog hii katika vipengele vifuatavyo;
BEST EDUCATIONAL BLOG
BEST INSPIRATION BLOG
JINSI YA KUPENDEKEZA
Andika email kwenda tanzanianblogawards@gmail.com
subject weka http://amkamtanzania.blogspot.com/
body andika; Best Educational Blog, Best Inspiration Blog
  Asante kwa ushirikiano wako na endelea kuwashirikisha wenzako makala za blog hii.
KWA MAELEZO ZAIDI;
Vipengele vya Kushiriki na Sheria za Shindano la Mwaka Huu 2013
Hii post ni kwa kiswahili....lakini maelekezo yake ni sawa na hivyo iliyopita
Tafadhali soma vizuri. Mwaka huu tumebadilisha,vipengele vya shindano letu na sheria ya shindano letu.  Kwa blog yako au blog unayotaka ipendekezwe tafadhali wataarifu bloggers hao, hatutaki kushirikisha bloggers ambao hawataki kuhusishwa katika shindano hili. Sasa ili tujue kuwa blogger huyo unayempendekeza amekubali au anajua kushirikishwa kwake katika shindano hili mwambie alink blog yake katika shindano letu.
Jinsi ya kulink
1. Aandike post kuhusu shindano hili na kuwataarifu wasomaje wake katika post hiyo alinki kwetu...Tanzanian blog awards link. 
2. Kama blog unayoipendekaza hatafanya hivyo blog yake haitashirikishwa
3. Unaweza kupendekeza blog katika vipengele vingi upedavyo lakini katika kila email unayotuma ni blog moja tu utaruhusiwa kuipendekeza kwa wakati mmoja
mfano:  Kwenye subject unaandika jina la blog unayotaka kuipendekeza 
              tanzanianblogawards.blogspot.com
Kwenye body ya email unaandika vipengele unayotaka blog hiyo ishirikishwe
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
etc etc  
4. Email iwe ni ya ukweli kama tukiwa tunataka kuwasiliana na wewe kuhusu link ya blog uliyopendekeza tuweze kufanya hivyo na tuma mapendekezo yako kwa hii hapa Email

nomination@bloggersassociationoftanzania.com au tanzanianblogawards@gmail.com
5. Mwanzo wa kupokea mapendekezo hayo ni
Tarehe 17/8/ 2013 saa 12:01am mpaka tarehe 30/8/2013 saa 11:59pm saa za Africa mashariki
Vipengele 
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
Best Business Blog
Best Creative Writing Blog
Best Design/Graphic Design Blog
Best Educational Blog
Best Entertainments
Best Food Blog
Best General Blog
Best Inspiration Blog
Best Newcomer Blog
Best News Blog
Best Photography Blog
Best Political Blog
Best Religion Blog
Best Sports Blog
Best Technology Blog
Best Tots Blog  (17 yr old and below)
Best Travel Blogs
- See more at: http://amkamtanzania.blogspot.com/2013/08/pendekeza-blog-hii-kuingia-kwenye.html#sthash.W51wxo7D.dpuf

 blog award
Kama wewe ni msomaji wa makala mbalimbali kwenye blog hii na kwa namna moja zimekusaidia ama kukuhamasisha naomba uipendekeze blog hii iingie kwenye shindano la blog Tanzania.
  Kama blog hii itafanikiwa kuingia kwenye shindano hilo na kushinda ni dhahiri yaliyomo humu yatawafikia wengi zaidi na tukaendelea kusaidiana ili kufikia malengo yetu kwa pamoja.
  Na ili blog hii iweze kuingia kwenye shindano na kushinda, ni muhimu kwa wewe kuipendekeza na baadae kuipigia kura.
  Tafadhali sana chukua muda wako kidogo kwa kuipendekeza blog hii katika vipengele vifuatavyo;
BEST EDUCATIONAL BLOG
BEST INSPIRATION BLOG
JINSI YA KUPENDEKEZA
Andika email kwenda tanzanianblogawards@gmail.com
subject weka http://amkamtanzania.blogspot.com/
body andika; Best Educational Blog, Best Inspiration Blog
  Asante kwa ushirikiano wako na endelea kuwashirikisha wenzako makala za blog hii.
KWA MAELEZO ZAIDI;
Vipengele vya Kushiriki na Sheria za Shindano la Mwaka Huu 2013
Hii post ni kwa kiswahili....lakini maelekezo yake ni sawa na hivyo iliyopita
Tafadhali soma vizuri. Mwaka huu tumebadilisha,vipengele vya shindano letu na sheria ya shindano letu.  Kwa blog yako au blog unayotaka ipendekezwe tafadhali wataarifu bloggers hao, hatutaki kushirikisha bloggers ambao hawataki kuhusishwa katika shindano hili. Sasa ili tujue kuwa blogger huyo unayempendekeza amekubali au anajua kushirikishwa kwake katika shindano hili mwambie alink blog yake katika shindano letu.
Jinsi ya kulink
1. Aandike post kuhusu shindano hili na kuwataarifu wasomaje wake katika post hiyo alinki kwetu...Tanzanian blog awards link. 
2. Kama blog unayoipendekaza hatafanya hivyo blog yake haitashirikishwa
3. Unaweza kupendekeza blog katika vipengele vingi upedavyo lakini katika kila email unayotuma ni blog moja tu utaruhusiwa kuipendekeza kwa wakati mmoja
mfano:  Kwenye subject unaandika jina la blog unayotaka kuipendekeza 
              tanzanianblogawards.blogspot.com
Kwenye body ya email unaandika vipengele unayotaka blog hiyo ishirikishwe
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
etc etc  
4. Email iwe ni ya ukweli kama tukiwa tunataka kuwasiliana na wewe kuhusu link ya blog uliyopendekeza tuweze kufanya hivyo na tuma mapendekezo yako kwa hii hapa Email

nomination@bloggersassociationoftanzania.com au tanzanianblogawards@gmail.com
5. Mwanzo wa kupokea mapendekezo hayo ni
Tarehe 17/8/ 2013 saa 12:01am mpaka tarehe 30/8/2013 saa 11:59pm saa za Africa mashariki
Vipengele 
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
Best Business Blog
Best Creative Writing Blog
Best Design/Graphic Design Blog
Best Educational Blog
Best Entertainments
Best Food Blog
Best General Blog
Best Inspiration Blog
Best Newcomer Blog
Best News Blog
Best Photography Blog
Best Political Blog
Best Religion Blog
Best Sports Blog
Best Technology Blog
Best Tots Blog  (17 yr old and below)
Best Travel Blogs
- See more at: http://amkamtanzania.blogspot.com/2013/08/pendekeza-blog-hii-kuingia-kwenye.html#sthash.W51wxo7D.dpuf

 blog award
Kama wewe ni msomaji wa makala mbalimbali kwenye blog hii na kwa namna moja zimekusaidia ama kukuhamasisha naomba uipendekeze blog hii iingie kwenye shindano la blog Tanzania.
  Kama blog hii itafanikiwa kuingia kwenye shindano hilo na kushinda ni dhahiri yaliyomo humu yatawafikia wengi zaidi na tukaendelea kusaidiana ili kufikia malengo yetu kwa pamoja.
  Na ili blog hii iweze kuingia kwenye shindano na kushinda, ni muhimu kwa wewe kuipendekeza na baadae kuipigia kura.
  Tafadhali sana chukua muda wako kidogo kwa kuipendekeza blog hii katika vipengele vifuatavyo;
BEST EDUCATIONAL BLOG
BEST INSPIRATION BLOG
JINSI YA KUPENDEKEZA
Andika email kwenda tanzanianblogawards@gmail.com
subject weka http://amkamtanzania.blogspot.com/
body andika; Best Educational Blog, Best Inspiration Blog
  Asante kwa ushirikiano wako na endelea kuwashirikisha wenzako makala za blog hii.
KWA MAELEZO ZAIDI;
Vipengele vya Kushiriki na Sheria za Shindano la Mwaka Huu 2013
Hii post ni kwa kiswahili....lakini maelekezo yake ni sawa na hivyo iliyopita
Tafadhali soma vizuri. Mwaka huu tumebadilisha,vipengele vya shindano letu na sheria ya shindano letu.  Kwa blog yako au blog unayotaka ipendekezwe tafadhali wataarifu bloggers hao, hatutaki kushirikisha bloggers ambao hawataki kuhusishwa katika shindano hili. Sasa ili tujue kuwa blogger huyo unayempendekeza amekubali au anajua kushirikishwa kwake katika shindano hili mwambie alink blog yake katika shindano letu.
Jinsi ya kulink
1. Aandike post kuhusu shindano hili na kuwataarifu wasomaje wake katika post hiyo alinki kwetu...Tanzanian blog awards link. 
2. Kama blog unayoipendekaza hatafanya hivyo blog yake haitashirikishwa
3. Unaweza kupendekeza blog katika vipengele vingi upedavyo lakini katika kila email unayotuma ni blog moja tu utaruhusiwa kuipendekeza kwa wakati mmoja
mfano:  Kwenye subject unaandika jina la blog unayotaka kuipendekeza 
              tanzanianblogawards.blogspot.com
Kwenye body ya email unaandika vipengele unayotaka blog hiyo ishirikishwe
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
etc etc  
4. Email iwe ni ya ukweli kama tukiwa tunataka kuwasiliana na wewe kuhusu link ya blog uliyopendekeza tuweze kufanya hivyo na tuma mapendekezo yako kwa hii hapa Email

nomination@bloggersassociationoftanzania.com au tanzanianblogawards@gmail.com
5. Mwanzo wa kupokea mapendekezo hayo ni
Tarehe 17/8/ 2013 saa 12:01am mpaka tarehe 30/8/2013 saa 11:59pm saa za Africa mashariki
Vipengele 
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
Best Business Blog
Best Creative Writing Blog
Best Design/Graphic Design Blog
Best Educational Blog
Best Entertainments
Best Food Blog
Best General Blog
Best Inspiration Blog
Best Newcomer Blog
Best News Blog
Best Photography Blog
Best Political Blog
Best Religion Blog
Best Sports Blog
Best Technology Blog
Best Tots Blog  (17 yr old and below)
Best Travel Blogs
- See more at: http://amkamtanzania.blogspot.com/2013/08/pendekeza-blog-hii-kuingia-kwenye.html#sthash.W51wxo7D.dpuf

 blog award
Kama wewe ni msomaji wa makala mbalimbali kwenye blog hii na kwa namna moja zimekusaidia ama kukuhamasisha naomba uipendekeze blog hii iingie kwenye shindano la blog Tanzania.
  Kama blog hii itafanikiwa kuingia kwenye shindano hilo na kushinda ni dhahiri yaliyomo humu yatawafikia wengi zaidi na tukaendelea kusaidiana ili kufikia malengo yetu kwa pamoja.
  Na ili blog hii iweze kuingia kwenye shindano na kushinda, ni muhimu kwa wewe kuipendekeza na baadae kuipigia kura.
  Tafadhali sana chukua muda wako kidogo kwa kuipendekeza blog hii katika vipengele vifuatavyo;
BEST EDUCATIONAL BLOG
BEST INSPIRATION BLOG
JINSI YA KUPENDEKEZA
Andika email kwenda tanzanianblogawards@gmail.com
subject weka http://amkamtanzania.blogspot.com/
body andika; Best Educational Blog, Best Inspiration Blog
  Asante kwa ushirikiano wako na endelea kuwashirikisha wenzako makala za blog hii.
KWA MAELEZO ZAIDI;
Vipengele vya Kushiriki na Sheria za Shindano la Mwaka Huu 2013
Hii post ni kwa kiswahili....lakini maelekezo yake ni sawa na hivyo iliyopita
Tafadhali soma vizuri. Mwaka huu tumebadilisha,vipengele vya shindano letu na sheria ya shindano letu.  Kwa blog yako au blog unayotaka ipendekezwe tafadhali wataarifu bloggers hao, hatutaki kushirikisha bloggers ambao hawataki kuhusishwa katika shindano hili. Sasa ili tujue kuwa blogger huyo unayempendekeza amekubali au anajua kushirikishwa kwake katika shindano hili mwambie alink blog yake katika shindano letu.
Jinsi ya kulink
1. Aandike post kuhusu shindano hili na kuwataarifu wasomaje wake katika post hiyo alinki kwetu...Tanzanian blog awards link. 
2. Kama blog unayoipendekaza hatafanya hivyo blog yake haitashirikishwa
3. Unaweza kupendekeza blog katika vipengele vingi upedavyo lakini katika kila email unayotuma ni blog moja tu utaruhusiwa kuipendekeza kwa wakati mmoja
mfano:  Kwenye subject unaandika jina la blog unayotaka kuipendekeza 
              tanzanianblogawards.blogspot.com
Kwenye body ya email unaandika vipengele unayotaka blog hiyo ishirikishwe
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
etc etc  
4. Email iwe ni ya ukweli kama tukiwa tunataka kuwasiliana na wewe kuhusu link ya blog uliyopendekeza tuweze kufanya hivyo na tuma mapendekezo yako kwa hii hapa Email

nomination@bloggersassociationoftanzania.com au tanzanianblogawards@gmail.com
5. Mwanzo wa kupokea mapendekezo hayo ni
Tarehe 17/8/ 2013 saa 12:01am mpaka tarehe 30/8/2013 saa 11:59pm saa za Africa mashariki
Vipengele 
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
Best Business Blog
Best Creative Writing Blog
Best Design/Graphic Design Blog
Best Educational Blog
Best Entertainments
Best Food Blog
Best General Blog
Best Inspiration Blog
Best Newcomer Blog
Best News Blog
Best Photography Blog
Best Political Blog
Best Religion Blog
Best Sports Blog
Best Technology Blog
Best Tots Blog  (17 yr old and below)
Best Travel Blogs
- See more at: http://amkamtanzania.blogspot.com/2013/08/pendekeza-blog-hii-kuingia-kwenye.html#sthash.W51wxo7D.dpuf

 blog award
Kama wewe ni msomaji wa makala mbalimbali kwenye blog hii na kwa namna moja zimekusaidia ama kukuhamasisha naomba uipendekeze blog hii iingie kwenye shindano la blog Tanzania.
  Kama blog hii itafanikiwa kuingia kwenye shindano hilo na kushinda ni dhahiri yaliyomo humu yatawafikia wengi zaidi na tukaendelea kusaidiana ili kufikia malengo yetu kwa pamoja.
  Na ili blog hii iweze kuingia kwenye shindano na kushinda, ni muhimu kwa wewe kuipendekeza na baadae kuipigia kura.
  Tafadhali sana chukua muda wako kidogo kwa kuipendekeza blog hii katika vipengele vifuatavyo;
BEST EDUCATIONAL BLOG
BEST INSPIRATION BLOG
JINSI YA KUPENDEKEZA
Andika email kwenda tanzanianblogawards@gmail.com
subject weka http://amkamtanzania.blogspot.com/
body andika; Best Educational Blog, Best Inspiration Blog
  Asante kwa ushirikiano wako na endelea kuwashirikisha wenzako makala za blog hii.
KWA MAELEZO ZAIDI;
Vipengele vya Kushiriki na Sheria za Shindano la Mwaka Huu 2013
Hii post ni kwa kiswahili....lakini maelekezo yake ni sawa na hivyo iliyopita
Tafadhali soma vizuri. Mwaka huu tumebadilisha,vipengele vya shindano letu na sheria ya shindano letu.  Kwa blog yako au blog unayotaka ipendekezwe tafadhali wataarifu bloggers hao, hatutaki kushirikisha bloggers ambao hawataki kuhusishwa katika shindano hili. Sasa ili tujue kuwa blogger huyo unayempendekeza amekubali au anajua kushirikishwa kwake katika shindano hili mwambie alink blog yake katika shindano letu.
Jinsi ya kulink
1. Aandike post kuhusu shindano hili na kuwataarifu wasomaje wake katika post hiyo alinki kwetu...Tanzanian blog awards link. 
2. Kama blog unayoipendekaza hatafanya hivyo blog yake haitashirikishwa
3. Unaweza kupendekeza blog katika vipengele vingi upedavyo lakini katika kila email unayotuma ni blog moja tu utaruhusiwa kuipendekeza kwa wakati mmoja
mfano:  Kwenye subject unaandika jina la blog unayotaka kuipendekeza 
              tanzanianblogawards.blogspot.com
Kwenye body ya email unaandika vipengele unayotaka blog hiyo ishirikishwe
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
etc etc  
4. Email iwe ni ya ukweli kama tukiwa tunataka kuwasiliana na wewe kuhusu link ya blog uliyopendekeza tuweze kufanya hivyo na tuma mapendekezo yako kwa hii hapa Email

nomination@bloggersassociationoftanzania.com au tanzanianblogawards@gmail.com
5. Mwanzo wa kupokea mapendekezo hayo ni
Tarehe 17/8/ 2013 saa 12:01am mpaka tarehe 30/8/2013 saa 11:59pm saa za Africa mashariki
Vipengele 
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
Best Business Blog
Best Creative Writing Blog
Best Design/Graphic Design Blog
Best Educational Blog
Best Entertainments
Best Food Blog
Best General Blog
Best Inspiration Blog
Best Newcomer Blog
Best News Blog
Best Photography Blog
Best Political Blog
Best Religion Blog
Best Sports Blog
Best Technology Blog
Best Tots Blog  (17 yr old and below)
Best Travel Blogs
- See more at: http://amkamtanzania.blogspot.com/2013/08/pendekeza-blog-hii-kuingia-kwenye.html#sthash.W51wxo7D.dpuf

Sunday, August 25

UJUMBE WA JUMAPILI

Unapoanza kumuona Mungu katika kila kiumbe kinachokuzunguka unatambua kuwa sasa umezaliwa upya.Sauti yake inakuwa ikiongea nawe ndani mwako toka ndani yako.Unatambua kuwa Mungu hayupo mbali nawe bali yupo ndani mwako wakati wote.
Unaruhusu nguvu na chemchem ya kila ushindi kufanya kazi ndani yako na kukupa nafasi ya kugundua nguvu hii iliyo ndani mwako na kuitumia kuifanya dunia kuwa sehemu bora kwa viumbe wote.

Mungu ametupatia uwezo mkubwa wa kuyafanya maisha yetu kuwa yenye faida kwa wengine,na husubiri maamuzi yetu ili kutuonesha njia.

Tunapokuwa tayari anatufundisha maana ya kuwa hapa na thamani ya maisha yetu . Ndipo unapomjua tena si kama kiumbe cha kutisha ama kisichoonekana lakini kama sehemu muhimu ndani mwako.Kisichoonekana ndani mwetu kinazaliwa upya na kuonekana kwa kila anayekuzunguka.

Kisha hutupatia kila uwezo na kuingia ndani ya kila kilicho mwilini mwetu kwa maelfu,tayari kwa kumtumikia kwa njia mbalimbali.Unitambua kuwa maisha yako ni ya thamani kwako na kwa wengine,unafungua ndani ya moyo wako kuishi kwa dhati.Sauti ndani mwako inaanza kusikika kwa viumbe wengine.Unapata thamani zaidi kupita vito vya thamani na zaidi ya fedha.

Maisha yako yanakuwa mwanga kwa viumbe wote.Unaanza kutumia kila kipawa na nafasi unayopewa na Muumba kwa ajili ya wote kwa utukufu wake yeye.Maisha yako yanaongea Tunajenga dunia mpya yenye matumaini na furaha-Jumapili njema

Saturday, August 24

TAZAMA UPYA SABABU YA WEWE KUWEPO DUNIANI

Tangu tumboni kwa mama umepewa uwezo wa kuifanya dunia kuwa sehemu bora ya kuishi.Umepewa vipawa mbalimbali ili kusudi la Muumba litimie…Unatambua kuwa licha ya changamoto nyingi unapaswa kufurahia uwepo wako duniani na kutolaumu dunia, viumbe na nyakati zake bali kupitia hivyo unayafanya maisha yako kuwa ni ya faida kwa dunia hii na viumbe vilivyopo…Kumbuka umezaliwa na upo duniani kwa sababu muhimu ya kipekee.hivyo ishi maisha yenye makusudi na matazamio
Unapaswa kukumbuka sasa kuwa upo duniani si kwa bahati tu bali kwa sababu maalum,kisha amsha moyo wako na nuru iliyo ndani mwako.Kumbuka kuwa sisi tu wamoja, kila mmoja akiwa na thamani sawa na mwenzake.Thamini kilicho ndani mwako kisha utatambua thamani ya wengine
Tupo kuangaza viumbe wote kwa kuwapenda,kuwajali,kuwathamini na kushirikiana  nao thamani ya ubinadamu.Walishe wenye njaa,wafariji yatima na wajane,visha wasio na mavazi..yote ni kuangaza nuru iliyo ndani mwetu hasa tunapofanya pasipo kutaka sifa wala malipo...Hupati kuwa na maisha ya thamani kama hutatenda kila jambo kwa msukumo wa moyo.

Wednesday, August 14

Nafsi huru

Kuna nyakati maishani mwetu ambapo vitu na watu walio karibu nasi watatutoka na kuwa mbali nasi, hii inatokea ili kutukumbusha kuwa tumetumwa kila mmoja kama nafsi huru yenye kazi maalum .Kila nafsi ni rafiki wa kweli wa nafsi yake . Inatukumbusha kuwa tusiishi maisha ya wengine bali kila nafsi ijenge maisha yake iliyoitiwa.Maisha na matukio yatutokeayo yanatukumbusha kutazama ndani mwetu palipo na nuru na sauti ya Muumba.Tunakumbushwa kurudi ndani yetu kila wakati tunaposukumwa na vitu vinavyotusahaulisha sababu ya kuwepo duniani.Yapo mengi yanayotugawa, kutupoteza na kutusahaulisha kuwa ss ni malaika tuliobeba miili kuiangaza nuru duniani kote.
Kila nafsi ipo sehemu muafaka kwa wakati na nafasi muafaka.
3Pia kila nafsi hutoka sehemu kwa wakati muafaka ili kuipa nafasi nafsi nyingine nafasi muafaka.
Nafsi isiyotumia nafasi ni nafsi isiyotambua sababu ya kuwepo-Katika ulimwengu halisi hakuna kufa,bali kubadilika kwa nafasi na kazi mpya.Nafsi itendayo jukumu lake huishi milele .Zikutanapo nafsi zitendazo wajibu huunda umoja uundwao kutoka ndani ya kila nafsi.Ni muungano takatifu ambapo dunia mpya huundwa na kisha matokeo yake kuonekana katika ulimwengu unaoonekana.Je wewe ni mmoja wa umoja huo?.Ishi maisha yako halisi.

Wednesday, August 7

Itendee haki nafsi yako

Wewe upo hapa duniani ukiwa ni nafsi huru kabisa.Ni nafsi ya pekee ambayo hakuna mwingine anayoweza kuwa mbadala yake isipokuwa wewe tu.
Nafsi ya mtu inabeba ujumbe wa pekee ndani mwake,inabeba nuru ya Mungu ili kuwamulika wengine.Inatamisha thamani ya.maisha na umuhimu wa kuyaishi maisha ya kila nafsi kwa dhati.
Ni wachache wanaotambua kuwa wao si nyama tu zionekanazo,bali wanabeba nafsi yenye umuhimu mkubwa kwa kila kiumbe hapa duniani.Wasiotambua husaliti nafsi zao kwa kipindi chote wanapoishi hapa duniani.Huishi maisha yasiyo na sababu yeyote hapa duniani.Hawana mipango wala malengo maishani mwao.Wao huendeshwa na matukio yatikeayo pamoja na fikra na mawazo ya watu wanaowazunguka.
Ni wakati sasa kila nafsi kutambua thamani iliyo ndani yakw na kuiishi.Kila mtu aanze kujifunza yeye ni nani na kwa nini yupo duniani.Unaweza ukajikumbusha kama ufuatavyo.
chunguza thamani ya maisha yako.-vumbua uwezo uliopo ndani.mwako.
-jifunze na kugundua uwezo wa fikra zako.
-anza kuchukua hatua juu ya fijra zako,msukumo wa moyo wako na juu ya uchaguzi unaoufanta ukiambatana na matokeo ya uchaguzi wako.
-tafuta furaha ndani mwako na iishi.
- Anza kufanya mabadiliko katika maisha yako kwanza ndipo utakapo badili kila kitu kinachokuzunguka
-chagua marafiki watakaokujenga
- Epuka kuogopa kutenda kile unachokiamini.
-tazama kila jambo kama nafasi,zifurahie changamoto unazokutana nazo,shirikiana na wanaokuzunguka

Anza kuishi ukiwa nafsi huru yenye ushiriki na nafsi zingine.Fanya maamuzi.Pangilia majsha yako.Hutasubiri kikundi cha watu ama watu wengine kuchukua hatua ya kujenga maisha yako bali utaanza kuishi sbbu ya wewe kuwepo hapa duniani kama nafsi huru yenye thamani

Tuesday, August 6

Ugunduzi wa chemchem ndani yako

Safari kubwa ya ugunduzi ni juu ya maisha yako,ni safari ambayo utaamua kutafakari juu ya maisha yako-unatoka wapi na unakwenda wapi.Ni safari ambayo licha ya kuwa njia yake ni vipande vingi vya changamoto,utakuwa tayari kuvipitia na kuugundua uwezo ulionao“ukitambua.kuwa wewe ndiwe msanifu wa maisha yako na kila utendalo linaleta miujiza mipya duniani Mwishowe mafanikio yatakuja yakiwa ni mkusanyiko wa maamuzi na matendo yako.Picha yako uliyoijenga kwa fikra zako itakuwa halisi.Amini juu ya uwezo uliopewa na Muumba.