Hekima ipo katika kutambua tofauti iliyopo miongoni mwetu
wanadamu.
“Ikawa alipokuwa ameketi nao chakulani, alitwaa mkate, akaubariki, akaumega,
akawapa.Yakafumbuliwa macho yao,wakamtambua,Kisha akatoweka mbele
yao.
Wakaambiana,Je mioyo yetu haikuwaka ndani yetu hapo alipokuwa akisema nasi
njiani, na kutufunulia maandiko?Luka 24:30-32
Nahitaji mwalimu!!
Nahitaji msaidizi!!!
Nahitaji mwombezi!!
"Kama nikipata mwalimu ama yeyote atakayeniongoza,Maisha
yangu yatakuwa mazuri!!
Inawezekana haya ni baadhi ya maoni yako ambayo unahisi yanaweza kubadili maisha yako,pasipo kutambua kwamba mwalimu,msaidizi , yupo kati yetu.
Wakati Fulani unaweza kutoka Singida, kukitafuta kitu Dar es
salaam, kumbe umekiacha Singida kikipatikana kwa wingi na bure.
Natoa mfano huu kuonesha kwamba zipo nyakati unaweza
ukatafuta kitu Fulani na kukifuata mbali,kumbe kinapatikana katika mazingira
unayoishi.
Utashangaa nitakaposema kwamba,kuna watu ambao wanakuzunguka
na unaishi nao, ambao Mungu amewaweka makusudi katika kuifanya safari yako ya
maisha kuwa rahisi,lakini upofu ulio ndani yako,unakufanya usitambue kabisa.
Nyakati zote unawatazama kama ni wa kawaida tu, hawana
umuhimu kwako,na hivyo badala ya safari yako ya mafanikio kuwa ni siku 40, inakuwa ni miaka 40.
Wapo watu ambao wakati mwingi nawafuatilia.Na huwa najiuliza
ni kwa nini sikupata kuwatambua mapema.Matendo yao,mienendo yao, maneno yao, mitazamo yao huweza kuamsha nguvu ndani yangu.
Tabia yangu hii ya kudadisi imenifanya nianze kuwatazama kila nnayekutana nae kwa jicho
la kipekee,kwa sababu naamini,kila ninayekutana nae katika
kazi,sala,mijadala,daladala,hawajatokea kwa bahati mbaya, bali Mungu ana
makusudi.
Mara nyingi nafanya hivi pasipo hata wao kutambua kwamba nathamini kukutana nao.
Mungu yupo miongoni mwetu,na wakati mwingi hatutambui hilo.
Mara nyingi tunadhani Mungu yupo kanisani ama msikitini.
Tukiwaona
wachungaji,mapadre na viongozi wa kiimani,tunadhani ndipo tunapoweza kumwona
Mungu.
Mungu yupo miongoni mwetu.Kwa wadogo,wadhaifu,
warefu,wafupi,weusi,wembamba. Mungu yupo miongoni mwetu.
Binadamu wengi hawapendi kutazama zaidi ya mwonekano wa
mtu.Ukijifunza kutazama zaidi ya mwonekano wa nje,unaweza kuona kilicho ndani
na thamani ya kisichoonekana kwa macho ya nyama.
Kwa wale wanaoishi na wenzi wenu,Mungu anaweza kuwa ndni ya
mwenzi wakounayelala nae kwenye kitanda kimoja.Moyo wa kudhani/kutazama kwa
kuhukumu unaweza kukufanya usitambue hilo.
Anaweza kukupa suluhisho juu ya jambo,lakini kwa sababu
unamtazama kwa nje, na kwa mazoea basi huwezi ona kilicho ndani yake.
Lakini akisimama kiongozi wa kiimani, akiongea kwa sauti ya
kukuvuta, akikupa ushaurinhata usiofaa, utapiga kelele na mwitikio mkubwa
moyoni mwako.Ndio baba!!!
Hekima ipo katika uwezo wa kutambua kisichoonekana.
Mungu yupo kati yetu, picha uliyonayo kichwani mwako kuhusu
Mungu inakufanya usimtambue.
Kitu unachokifuata maili nyingi,kipo kinakuzunguka katika
mazingira yako
Naitwa Pongu Joseph
Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.
ReplyDeleteMwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.
Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.
Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.
Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.
Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
dawnacuna314@gmail.com
Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.
ReplyDeleteMume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.
Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
Nitaendelea kushukuru milele.
Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
. Usaidizi wa kurejesha ndoa
. Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
. Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
. Mwongozo na ulinzi wa kiroho
Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159
dawnacuna314@gmail.com