Nuru Ndani Yako

Nuru Ndani Yako
Nuru Ndani Yako
Subscribe For Free Updates!

We'll not spam mate! We promise.

KARIBU SANA

HONGERA KWA KUCHAGUA BLOG HII.MAISHA NI UCHAGUZI...NA KILA UCHAGUZI NI SAHIHI....KILA UCHAGUZI UNA MATOKEO YAKE.......KUCHAGUA KUSOMA YALIYO KATIKA BLOG HII KUTAKUFANYA UJITAMBUE,,UUJUE UWEZO MKUBWA ULIO NDANI MWAKO NA HIVYO KUFIKIA MAFANIKIO UNAYOYAKUSUDIA........WEWE NI ZAIDI YA UJIONAVYO,NI ZAIDI YA UJIPIMIAVYO.....UTATAMBUA YA KUWA MUNGU AMBAYE KILA UCHAO WATU WANAMTAFUTA...YU NDANI MWAKO.....UTATAMBUA KUWA U MWANGAZA.....NA UTATAMBUA JINSI YA KUUTUMIA KUWAMULIKA WENGINE...NA KUIFANYA NURU YA MUNGU ILIYO NDANI MWAKO IONEKANA KWA WENGINE-PONGU JOSEPH

Friday, August 2

MUNGU KATI YETU

MUNGU KATI YETU Hekima ipo katika kutambua tofauti iliyopo miongoni mwetu wanadamu. “Ikawa alipokuwa ameketi nao chakulani,  alitwaa mkate, akaubariki, akaumega, akawapa.Yakafumbuliwa macho yao,wakamtambua,Kisha akatoweka mbele yao. Wakaambiana,Je mioyo yetu haikuwaka ndani yetu hapo alipokuwa akisema nasi njiani, na kutufunulia maandiko?Luka...

Wednesday, April 4

SAFARI YA KUTAMBUA KWA NINI UPO DUNIANI.

Mwalimu wa kweli wa kiroho hana maneno ya kukufundisha jambo jipya usilolifahamu, habari mpya taarifa mpya,sheria mpya ama imani mpya. Kazi pekee ya mwalimu wa kiroho ni kukusaidia na kukuongoza kuondoa giza linalokutenganisha wewe kutoka kwenye ukweli wa kwa nini Mungu alikuumba na undani wa sababu ya kwa nini upo hapa duniani. Kazi yake ni kukufunulia...

Saturday, February 17

MAISHA YAKO YANA THAMANI GANI KWA WENGINE?>

Maisha yako yamechangia nini katika dunia hii?Maisha yako yameleta faida gani kwa wengine?Umekuwa zawadi kiasi gani kwa wengine? Kipawa ulichopewa, uwezo wa ubunifu uliopewa,ujuzi uliopewa,umeutumia namna gani kwa ajili ya wengine,kama utukufu kwa aliyekuumba? Wakati mwingi tumekuwa tukitazama tunapata nini,tunaongeza nini kwa ajili yetu pasipo kutazama...

Tuesday, December 20

KITABU KITAKACHOKUWEZESHA KUWEKA KUMBUKUMBU YA MAPATO NA NMATUMIZI YAKO

JE WAJUA?: Watanzania wengi hatuweki rekodi ya Mapato na matumizi tunayoyafanya kwa siku,juma ,mwezi na hata mwaka?Je unajua kwamba wengi wetu tunatamani kuwa na kumbukumbu na mwisho wa mwaka kujua tulipata kiasi gani na tulikitumia vipi?Sasa umerahisishiwa.Unaweza kuweka kumbukumbu ya mapato yako kila siku na matumizi. Nimeandaa kitabu kitakachokurahisishia...

Sunday, April 27

Waraka kwa vijana wote

Barua Ya Wazi Kwa Kijana Wa Kitanzania -na Makirita Amani Hakuna kipindi kigumu kwenye maisha ya mwanadamu kama muongo wa tatu wa maisha yaani kati ya miaka 20 mpaka 30. Huu ni wakati ambao una changamoto nyingi sana za maisha na ni wakati ambao unaweza kujenga au kubomoa maisha yako moja kwa moja. Kama wewe upo katika kipindi hiki endelea kusoma hapa...

Monday, September 30

SIFA ZA BINADAMU ANAYEJITAMBUA

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Sunday, September 8

JINSI YA KUPIGIA KURA BLOG YAKO KATIKA SHINDANO LA TANZANIA BLOG AWARDS

Napenda kuchukua fursa hii kutoa shukrani zangu kwenu kwa kupendekeza blog hii kushiriki katika shindano la Tanzania blog awards. Blog hii imependekezwa katika vipengele viwili ambavyo ni 1. Best Inspirational Blog 2. Best Creative Writing Blog  Nakuomba kwa nafasi yako uchukue muda kuipigia kura blogu yako katika vipengele tajwa hapo juu...