Mwalimu wa kweli wa kiroho hana maneno ya
kukufundisha jambo jipya usilolifahamu, habari mpya taarifa mpya,sheria mpya
ama imani mpya.
Kazi pekee ya mwalimu wa kiroho ni kukusaidia na
kukuongoza kuondoa giza linalokutenganisha wewe kutoka kwenye ukweli wa kwa
nini Mungu alikuumba na undani wa sababu ya kwa nini upo hapa duniani.
Kazi
yake ni kukufunulia...