Kuna faida kubbwa sana kwa mtu kujitambua.Utafahamu ni jinsi gani unaweza kuchukua maamuzi ya kugeuza maisha ambayo huyapendi na kuishi maisha mapya,n ndipo utakapokuwa tayari kuchukua hatua ya kufanya maamuzi magumu maishani...amua,kaa na kuandika kila jambo unalhitaji ulifanye kwa mwaka mzima,andika kila jamnbo kwa kina...kwa makini tafuta picha ya jinsi gani unataka maisha yako kuwa...kisha chukua hatua kuanza maisha hay sasa,wakati ni sasa...mwaka wako unaanza sasa...na hakuna mwisho...kila mwisho wa jambo moja utaanzisha jambo jipya..... kumbuka kama huna malengo huwezi kufanya lolote..hivyo weka malengo yako sas..yafanye kuwa dura yako...chukua hatua hata kama unahisi ni vigumu kusonga mbele...chukua hatua...narudia usiogope kuchukua hatua juu ya maisha yako mwenyewe
KARIBU SANA
HONGERA KWA KUCHAGUA BLOG HII.MAISHA NI UCHAGUZI...NA KILA UCHAGUZI NI SAHIHI....KILA UCHAGUZI UNA MATOKEO YAKE.......KUCHAGUA KUSOMA YALIYO KATIKA BLOG HII KUTAKUFANYA UJITAMBUE,,UUJUE UWEZO MKUBWA ULIO NDANI MWAKO NA HIVYO KUFIKIA MAFANIKIO UNAYOYAKUSUDIA........WEWE NI ZAIDI YA UJIONAVYO,NI ZAIDI YA UJIPIMIAVYO.....UTATAMBUA YA KUWA MUNGU AMBAYE KILA UCHAO WATU WANAMTAFUTA...YU NDANI MWAKO.....UTATAMBUA KUWA U MWANGAZA.....NA UTATAMBUA JINSI YA KUUTUMIA KUWAMULIKA WENGINE...NA KUIFANYA NURU YA MUNGU ILIYO NDANI MWAKO IONEKANA KWA WENGINE-PONGU JOSEPH
Wednesday, October 31
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments:
Post a Comment
maoni yako hapa