Nuru Ndani Yako

Nuru Ndani Yako
Nuru Ndani Yako
Subscribe For Free Updates!

We'll not spam mate! We promise.

KARIBU SANA

HONGERA KWA KUCHAGUA BLOG HII.MAISHA NI UCHAGUZI...NA KILA UCHAGUZI NI SAHIHI....KILA UCHAGUZI UNA MATOKEO YAKE.......KUCHAGUA KUSOMA YALIYO KATIKA BLOG HII KUTAKUFANYA UJITAMBUE,,UUJUE UWEZO MKUBWA ULIO NDANI MWAKO NA HIVYO KUFIKIA MAFANIKIO UNAYOYAKUSUDIA........WEWE NI ZAIDI YA UJIONAVYO,NI ZAIDI YA UJIPIMIAVYO.....UTATAMBUA YA KUWA MUNGU AMBAYE KILA UCHAO WATU WANAMTAFUTA...YU NDANI MWAKO.....UTATAMBUA KUWA U MWANGAZA.....NA UTATAMBUA JINSI YA KUUTUMIA KUWAMULIKA WENGINE...NA KUIFANYA NURU YA MUNGU ILIYO NDANI MWAKO IONEKANA KWA WENGINE-PONGU JOSEPH

Monday, September 30

SIFA ZA BINADAMU ANAYEJITAMBUA

Katika makala hii tunajifunza juu ya binadamu anayejitambua.Makala hii inaweza kukukumbusha mambo mengi kwa kifupi na hivyo kukufanya uchunguze juu ya maisha yako na kuyatumia vyema kwa wakati huu ulipo hapa duniani.


Kutambua ndani yako hakuhitaji uende shule na kusoma sana,na hakutokani na maamuzi ya mtu mwingine bali ni maamuzi yatokayo ndani mwako
Ni mguso unaotaka ndani mwako, ufahamu unaokua toka ndani mwako. Ni uchimbuzi wa chemchem zitokazo ndani mwako, Ni kumtambua Mungu kupitia mguso ndani ya moyo wako, kisha kuanza kutumia kipawa ulichonacho kwa ajili ya utukufu  wa Mungu . Ni hisia za ndani zitakazofanya umfahamu Mungu na si kufikiria tu.Upya ndani ya binadamu hutokea wakati wote  kwa kuunganisha moyo wako na ulimwengu wa hisia na kuendelea kujifunza kila wakati na kukuza nafasi ya moyo wako kuwa mpya.
 na
Je ni kwa namna gani unamtambua binadamu anayejitambua?

Mtu anayejitambua hubadili mtazamo wake kutoka kwenye mtazamo wa jamii unaofuata mila na desturi/kawaida kuelekea kwenye fikra za kuijenga dunia mpya na yenye fursa mpya.Hujenga dunia ambayo wanaomzunguka ni wanadamu wanaotambua utu na nafasi ya kila nafsi.Akiwa na misingi ya ujamaa na usawa, hufanya majukumu yake kutoka kujitazama yeye binafsi na kuanza kuwatazama wengine.Uchaguzi wake na matendo yake husukumwa na  maono na mtazamo wa mbali kwa ajili ya binadamu wote na viumbe vyote.Hutazama sio kila kiumbe kwa ajili yake,bali kila kiumbe kwa ajili ya wote.

Anayejitambua habagui jinsia bali hutambua jinsia kuwa ni matokeo ya fikra za Mungu yaliyokusuduia kutoa fursa.Huheshimu, hutambua wengine na kuthamini nafsi zao na uchaguzi wao.Hutengeneza dunia dunia ambayo jinsia zote huwa na uhuru wa  kutumia vipawa vyao, kutambua sauti zo,nuru ndani mwao na kutumia kwa ajili ya viumbe wote. 

Mtu anayejitambua hasukumwi kutenda na maamuzi ama fikra za wengine. Anatazama ndani yake.Hajifananishi na nafsi zingine na hivyo hatumii nafasi yeyote kuwakandamiza wengine.Husimama kwa miguu yake mwenyewe. Anawasikiliza wengine isipokuwa hatoi nafasi kwa wengine kumuamulia maisha atakayoishi. Anayaona mambo yajayo na hivyo huanza kuijenga kesho yake katika wakati tunaouita sasa. Ni alama ya uwezo wa Mungu uliopo ndani ya binadamu. Na alama ya maisha yake huishi enzi na enzi.

Mtu anayejitambua huchukua hatua juu ya hisia zitokazo ndani mwake na hivyo kutambua matokeo ya matendo yake.Hutenda kwa msukumo wa moyo. Hutambua mambo ambayo hayamletei faida na kutoyafanya na pia hutambua yale yanayomletea faida ..akitambua kuwa anapotenda kwa wengine anajitendea mwenyewe. Husikiliza hisia za ndani mwake na kujifunza lugha ya moyo wake.

Huishi maisha yenye sababu. Husikia muito alioitiwa na kuuuishi. Haridhishwi tu na maisha ya tokanayo na matukio kama kuamka,kutembea,kulala,kula bali hutambua kuwa yupo hapa duniani kwa sababu maalum,hivyo huchimba ndani mwake kuijua sababu na kuiiishi. Kila wakati anasukumwa na sababu hiyo  ya yeye kuishi ,kuendelea kuishi kwa dhati akitengeneza na  kuifuata njia inayomfikisha huko.

Hakimbii majukumu yake . Hajitoi katika kutafuta suluhu ya changamoto na wala halaumu wengine. Hutambua makosa yake na kujifunza kupitia hayo. Husanifu maisha yake na kuyafanya mapya kila wakati.
Hujifunza toka ndani mwake na kutoka kwa wengine. Hutilia mkazo katika mafanikio ya ukuaji ndani mwake kuliko mafanikio ya nje., hutengeneza ndani mwake. Hutafiti na kuvumbua chemchem zinazojenga na kubomoa nafsi na kutumia chemchem hiyo kuifanya dunia kuwa sehemu bora ya kuishi.Hivyo aliyejitambua ni picha tosha ya uwezo na uwepo wa Mungu ndani ya binadamu. Hutengeneza msawazo kati ya chemchem ndani mwake na matokeo yaonekanayo halisia.;
Binadamu anayejitambua hutazama kila jambo kama fursa


Anayejitambua hatafuti usahihi katika utendaji bali hutenda kwa kujitolea katika nguvu na uwezo wote.Hufanya kwa uwezo wake wote.
Anayejitambua hujikita katika kutenda kuliko kusema tu.Huweka bidii katika kazi . Huanzisha na kutenda mambo ambayo hufaidisha viumbe wote . Husema pale inapohitajika,huheshimu mawazo yake na huwa tayari kuchukua malipo ya maneno yake mwenyewe.Hakimbii kivuli chake. Hayupo tayari kuona wengine wakikosa uhuru  kupitia yeye. Anatambua kuwa wakati wote huvuna alichopanda..

Anayejitambua huweka mkazo katika uhusiano mwema na nafsi zingine. Huthamini mahusiano yenye thamani. Mahusiano kwake hutokea ndani, hujengwa ndani na hivyo hudumu. Upendo kwake ni lugha ya moyoni, huleta furaha, mshikamano na amani.Zitokeapo changamoto katika mahusiano,huwa tayari kuyatatua kwa ajili ya kuyakuza zaidi.

Anayejitambua hutambua kuwa hapa duniani hatupo katika kushindana,ushindani kwake haupo,hushirikiana na ushindi kwake ni furaha katika kutimiza wajibu wake. Huandaa silaha zake ndani na kuteketeza kila kisicho na manufaa kwa binadamu. Baada ya milima na mabonde katika maisha yake ushindi huzaliwa ndani mwake. Hutumia uwezo wake kwa ajili ya Wengine na si dhidi ya wengine..

Huishi katika hali ya kujitolea na bidii. Huwa ni zawadi ya aina yake hapa duniani. Haogopi kutenda. Huendeleza mambo yaliyojenga utu,ubinadamu na misingi bora ya kuishi yaliyojengwa na binadamu waliomtangulia. Maisha yake hufundisha wengine.  Hutambua juhudi za wengine na wote wanaompa msukumo wa kutenda zaidi hasa pale anapokutana na  changamoto. Hutambua kuwa hayuko peke yake,bali dunia imejengwa kwa muungano wa nafsi zinazotimiza majukumu kwa dhati.

Haogopi ukweli hata pale unapoumiza. Hutoa nafasi ya kusamehe kila wakati anapokosewa. Hujisamehe yeye pia anapofanya makosa. Hushiriki katika ujenzi wa maisha yake.
Hutambua kuwa kila jambo hutoa fursa,kila kiumbe ana fursa. Hakusanyi ama kujilimbikizia kwa ajili ya sifa. Hutazama wengine kama anavyofanya kwa nafsi yake. Inapostahili hujitolea alichonacho,hutoa kwa wale walioshiriki kwa yeye kupata. Hutengeneza maisha yake yawe ya kutoa fursa kwa wengine badala ya kuwanyang’anya wengine .

Anayejitambua haichukuliai dunia kama chanzo cha maumivu bali hugundua kuwa dunia humpa kila mmoja kadiri anavyohitaji.Dunia husikiliza kutoka kwenye uwezo  ulio ndani mwetu tuliopewa na Mungu.Hata mara moja hajichukulii kuwa ni bora kuliko binadamu wengine na wala si dfhaifu kuliko wengine. Hutambua kushabihiana na kutegemeana kati ya kiumbe kimoja na kingine.Hivyo anatambua kuwa kama ikiharibu mazingira ,ni sawia na kuharibu nafsi yake.
Binadamu anayejitambua huyajenga na kuyatunza mazingira yanayomzunguka


Anayejitambua hamlaumu Mungu hata mara moja. Uhusiana wake na Mungu ni wa heshima,urafiki na huwa na umoja naye . Mienendo yake yote humwelekea Mungu .Anawaheshimu wanaoamini sawia naye na wasio amini sawia naye. Hashiriki kutumia imani ama dini kama njia ya  utengano kati ya binadamu,ama binadamu na mazingira yake.

Ni mfano wa sifa njema ya binadamu. Huchukua majukumu yake. Ana faida kwa viumbe wote.Hulinda, hujenga, huheshimu, Huishi vyema duniani. Ni mfano wa aliyeletwa kuifanya nuru ya Mungu ing’ae. Ni halisi,haishi maisha bandia. Ni wa kutumainiwa, si mbinafsi. Wakati wake kuwepo duniani ukifikia tamati,huondoka kwa furaha ya kutimiza alichotumwa,na kuacha dunia ikimlilia.Ni wewe na mimi.

Sunday, September 8

JINSI YA KUPIGIA KURA BLOG YAKO KATIKA SHINDANO LA TANZANIA BLOG AWARDS

Napenda kuchukua fursa hii kutoa shukrani zangu kwenu kwa kupendekeza blog hii kushiriki katika shindano la Tanzania blog awards. Blog hii imependekezwa katika vipengele viwili ambavyo ni

1. Best Inspirational Blog
2. Best Creative Writing Blog

 Nakuomba kwa nafasi yako uchukue muda kuipigia kura blogu yako katika vipengele tajwa hapo juu kabla ya tarehe 15/09/2013 kwa njia zifuatazo
(a)Bonyeza hapa  kisha chagua pongujoseph.blogspot.com
(b)-(i) Kwa kupigia kura Best Inspirational Blog bonyeza hapa
      (ii) Kwa kupigia kura Best Creative writing Blog Bonyeza hapa
Hakikisha unachagua pongujoseph.blogspot.com

Ahsante sana kwa ushirikiano

Kwa maoni,maswali ama ushauri usisite kuniandikia +255765046644, Whatsapp namba +255765046644

UJUMBE WA LEO JUMAPILI

Kwa kila hatua unayopiga katika kujitambua na kutumia nuru uliyonayo,inazidi kukufanya uvumbue uwezo wako katika kupenda wengine ,sababu ya kuwapenda na kutenda hivyo.Inakufanya ujue faida na sababu ya kujitolea ili nawe upokee na kuiishi,kujifunza na kufundisha wengine kupitia maisha yako. Safari ya kuvumbua uwezo ulio ndani mwako ndiyo safari muhimu katika maisha yako ya kila siku.Inaanza pale tu unapoamua kutafiti wewe ni nani na kwa nini upo hapa duniani.Na haiishi sawia na maisha yalivyo endelevu. Katika safari hii utajifunza kujisamehe na kuwasamehe wengine.Utajifunza pia kukubali kuishi kwa dhati katika dunia hii na kukubali maisha yako halisi.Utaacha kuwahukumu wengine na kukubali mawazo yao na maamuzi wanayoyachukua juu ya maisha yao Mwishoni utagundua nyumba ilipo furaha na amani,ndani mwako na kujenga maisha yako kadiri ya uchaguzi wako na kuiiunda dunia mpya ndani mwako.

Tuesday, September 3

NINI THAMANI YAKO KWA WENGINE


Ipo siku ambayo hutahesabu tena ni nini unamiliki ama umepoteza.......
chuki,hasira na majaribu yote hayatakuwepo
Haitajalisha kuwa ulikuwa na sura nzuri ya mvuto ama ulionekana wa sura mbaya
wala ngozi,wala jina halitahesabika
Ni NINI KITAHESABIKA....
KiTAHESAbika ulichotoa kwa wengine na si ulichopokea
Kitahesabika ulichojenga ukiwa duniani,kilichowainua wengine,,,na si kile cha kifahari ulichonunua
Ni kila upole,usawa,utu, na kuwanyanyua wote walio wahitaji,
nI vile ulivyo,wewe halisi,ulivyoyaishi maisha yako kwa ajili ya wengine
Si watu wangapi wanakufhamu,ama umaarufu wako bali ni kiasi gani wengine wataumia pale wanapokukosa
Ni ule umuhimu wako kwa wengine
Si kumbukumbu tu kwamba ulikwepo,bali ni kumbukumbu ya maisha ya wengine uliowabadilisha na kuwasaidia kufikia furaha.
Kitakachohesabika si ni muda gani utakmbukwa,bali ni nani na kwa nini unakumbukwa,ni kwa wema uliotenda
Katika maisha tuishio,ni muhimu kuishi maisha yenye faida kwa wengine....
jiulize ni nini kimekuleta duniani...ishi kilichokuleta - See more at: http://pongujoseph.blogspot.com/2012/09/ujumbe-2.html#sthash.nspMdMHf.dpuf
Ipo siku ambayo hutahesabu tena ni nini unamiliki ama umepoteza.......
chuki,hasira na majaribu yote hayatakuwepo
Haitajalisha kuwa ulikuwa na sura nzuri ya mvuto ama ulionekana wa sura mbaya
wala ngozi,wala jina halitahesabika
Ni NINI KITAHESABIKA....
KiTAHESAbika ulichotoa kwa wengine na si ulichopokea
Kitahesabika ulichojenga ukiwa duniani,kilichowainua wengine,,,na si kile cha kifahari ulichonunua
Ni kila upole,usawa,utu, na kuwanyanyua wote walio wahitaji,
nI vile ulivyo,wewe halisi,ulivyoyaishi maisha yako kwa ajili ya wengine
Si watu wangapi wanakufhamu,ama umaarufu wako bali ni kiasi gani wengine wataumia pale wanapokukosa
Ni ule umuhimu wako kwa wengine
Si kumbukumbu tu kwamba ulikwepo,bali ni kumbukumbu ya maisha ya wengine uliowabadilisha na kuwasaidia kufikia furaha.
Kitakachohesabika si ni muda gani utakmbukwa,bali ni nani na kwa nini unakumbukwa,ni kwa wema uliotenda
Katika maisha tuishio,ni muhimu kuishi maisha yenye faida kwa wengine....
jiulize ni nini kimekuleta duniani...ishi kilichokuleta - See more at: http://pongujoseph.blogspot.com/2012/09/ujumbe-2.html#sthash.nspMdMHf.dpuf
Nimepata kuandika makala kadhaa ambazo lengo lake ni kutufanya tujitambue sisi ni nani na kwa nini tupo hapa duniani.Wasomaji wapya wanaweza kusoma makala hizo kupitia blogu hii.

Nashukuru kupata ujumbe kutoka kwa wasomaji mbalimbali wakieleza jinsi walivyoguswa na kwa jinsi gani makala hizo zimekuwa zikiwasaidia.Nashukuru kuona nikiwa nuru kwa wengine,jambo ambalo nimekuwa nikilifikiria kwa muda mrefu na ndiyo sababu inayonifanya niandike.Siandiki kwa ajili ya kupata umaarufu ama fedha,bali nafanya hivi nikijua kuwa nina sababu kuwepo katika dunia hii.

Leo hii naandika tena kusisitiza kuyaishi maisha yetu kwa dhati na kuifanya dunia kuwa sehemu bora.

Kila kukicha upendo unapungua baina ya binadamu.Matokeo ya vita,visasi,dhuluma, majivuno,matabaka,umasikini  yanazidi kuongezeka.Mambo haya hayatokei kwa bahati mbaya.Ni matokeo ya jamii ambayo imejengwa na sisi wenyewe (binadamu) kwa mlolongo wa miaka kwa ujumuisho wa uchaguzi wa kila mmoja kwa nafsi yake na msukumo wa jamii.

Tumechagua eitha kwa kujua ama kutokujua kuifanya dunia ilivyo sasa.Mfano mzuri ni jinsi tunavyochagua kutumia nguvu kumaliza vita ama mfarakano.Hutashangaa kusikia nchi inaivamia nchi nyingine kwa madai ya kusuluhisha wakati tukijua wazi kuwa amani hailetwi kwa vita bali kwa upendo.

Tumechagua kuwatoa elimu iletayo utegemezi  na matabaka na kudai kuwa ni elimu bora.Yapo mambo mengi ambayo tunayafanya kinyume lakini tukitegemea matokeo chanya,yenye kuinua watu wote.

Baada ya matokeo ya uchaguzi wetu kuanza kuonekana,si jambo la kushangaza utakaposikia baadhi wakimsingizia shetani ama Mungu.Lakini wanamlaumu na kumsingizia shetani ama Mungu kwa matokeo ya maamuzi yao binafsi.Wanasahau kuwa yote hayo ni matokeo ya maamuzi yao.
binadamu wa kweli huishi kwa ajili ya wengine


Leo hii lengo langu ni kuwaalika wale wanaotambua kuwa wana sababu ya msingi kuishi hapa duniani,kuiishi sababu hiyo.Nawaalika kufungua milango,japo kidogo na kuanza kuchimbua ,kuvumbua na kuuishi wito ulioitiwa hapa duniani.Kuchukua hatua na kuanza kuishi maisha yako halisi ni mwanzo tosha wa kuwamulika wengine.Huitaji utajiri wa mali  ama nafasi,ulipo na hali uliyonayo inatosha kuanza kuishi ubinadamu.

Binadamu si tu mjumuiko wa nyama,mifupa na muonekano,.bali ni mjumuisho wa upendo,usawa,uhuru,hurun
ma,kujitolea na kuishi kwa ajili ya wengine.Ni pale unapoamua kuishi na kujitolea kwa ajili ya wengine ukitambua kuwa kila unachowatendea,unajitendea mwenyewe.

Nuru ya Mungu ipo ndani mwetu,nasi ni mawakala wake Mungu.Nuru ya Mungu huanza kung'aa pale unapoishi maisha yako kwa ajili ya wengine.Hakuna aliyekuja kushindana na mwenzake.Tupo kujenga pamoja.

Sisi ni wawakilishi wa Mungu  hapa duniani
Wale ambao wapo tayari kujitolea kwa ajili ya wengine katika nyakati za shida na maumivu pasipo kujali malipo,ni mfano bora wa binadamu wa kweli .Hutokea kwa hali mbalimbali...wanyama,binadamu,ndege,wadudu...Malaika hapa duniani ni wale ambao hutenda na kufanya kazi na kuanzisha mambo kwa ajili ya wengine.Hawako tayari kudhuru,kudharau,kuumiza,kuchutenga,kunyang'anya na hata kubagua binadamuwengine kwa hali yeyote   .Hawako tayari kutoa uhai wa yeyote,hata anayeonekana ni adui,kwani wanatambua thamani ya kila uhai wa nafsi iliyopo hapa duniani.Hivyo huwa tayari kutumia nuru  na iliyo ndani mwao kuwamulika wengine na kuwakumbusha sababu ya wao kuwepo katika dunia hii na hatimae waiishi sababu hiyo.Ni mfano bora wa binadamu wa kwelu



Nakualika uchimbue ndani ya moyo wako na kufungua chemchem ya Mungu ndani mwako na kuiishi pasipo kuchoka

Ushiriki wako katika ujenzi wa dunia mpya(KATIKA FIKRA MPYA) unatokana na maamuzi na matendo yako ya kila sekunde.Ujenzi unaanza ndani mwako kwanza.Ubinadamu umetokana na maamuzi ya Muumba.Na matumizi yake yanaanza na uamuzi ndani mwako.Kila fikra yako kuhusu wewe,dunia unayoijenga na maisha ndani ya dunia mpya.Kila mmoja akifanya maamuzi sahihi,tunajenga dunia mpya yenye uhuru wa kweli,upendo na amani

 Napenda kunukuu maneno niliyopata kuyaandika wakati fulani.

ishi kwa ajili ya wengine,tenda kwa ajili ya kila binadamu

Ipo siku ambayo hutahesabu tena ni nini unamiliki ama umepoteza.......
chuki,hasira na majaribu yote hayatakuwepo
Haitajalisha kuwa ulikuwa na sura nzuri ya mvuto ama ulionekana wa sura mbaya
wala ngozi,wala jina halitahesabika
Ni NINI KITAHESABIKA....
KiTAHESAbika ulichotoa kwa wengine na si ulichopokea
Kitahesabika ulichojenga ukiwa duniani,kilichowainua wengine,,,na si kile cha kifahari ulichonunua
Ni kila upole,usawa,utu, na kuwanyanyua wote walio wahitaji,
nI vile ulivyo,wewe halisi,ulivyoyaishi maisha yako kwa ajili ya wengine
Si watu wangapi wanakufhamu,ama umaarufu wako bali ni kiasi gani wengine wataumia pale wanapokukosa
Ni ule umuhimu wako kwa wengine
Si kumbukumbu tu kwamba ulikwepo,bali ni kumbukumbu ya maisha ya wengine uliowabadilisha na kuwasaidia kufikia furaha.
Kitakachohesabika si ni muda gani utakmbukwa,bali ni nani na kwa nini unakumbukwa,ni kwa wema uliotenda
Katika maisha tuishio,ni muhimu kuishi maisha yenye faida kwa wengine....
jiulize ni nini kimekuleta duniani...ishi kilichokuleta - See more at: http://pongujoseph.blogspot.com/2012/09/ujumbe-2.html#sthash.nspMdMHf.dpuf
Ipo siku ambayo hutahesabu tena ni nini unamiliki ama umepoteza.......
chuki,hasira na majaribu yote hayatakuwepo
Haitajalisha kuwa ulikuwa na sura nzuri ya mvuto ama ulionekana wa sura mbaya
wala ngozi,wala jina halitahesabika
Ni NINI KITAHESABIKA....
KiTAHESAbika ulichotoa kwa wengine na si ulichopokea
Kitahesabika ulichojenga ukiwa duniani,kilichowainua wengine,,,na si kile cha kifahari ulichonunua
Ni kila upole,usawa,utu, na kuwanyanyua wote walio wahitaji,
nI vile ulivyo,wewe halisi,ulivyoyaishi maisha yako kwa ajili ya wengine
Si watu wangapi wanakufhamu,ama umaarufu wako bali ni kiasi gani wengine wataumia pale wanapokukosa
Ni ule umuhimu wako kwa wengine
Si kumbukumbu tu kwamba ulikwepo,bali ni kumbukumbu ya maisha ya wengine uliowabadilisha na kuwasaidia kufikia furaha.
Kitakachohesabika si ni muda gani utakmbukwa,bali ni nani na kwa nini unakumbukwa,ni kwa wema uliotenda
Katika maisha tuishio,ni muhimu kuishi maisha yenye faida kwa wengine....
jiulize ni nini kimekuleta duniani...ishi kilichokuleta - See more at: http://pongujoseph.blogspot.com/2012/09/ujumbe-2.html#sthash.97x7DSLn.dpuf

Ipo siku ambayo hutahesabu tena ni nini unamiliki ama umepoteza.......
chuki,hasira na majaribu yote hayatakuwepo
Haitajalisha kuwa ulikuwa na sura nzuri ya mvuto ama ulionekana wa sura mbaya
wala ngozi,wala jina halitahesabika
Ni NINI KITAHESABIKA....
KiTAHESAbika ulichotoa kwa wengine na si ulichopokea
Kitahesabika ulichojenga ukiwa duniani,kilichowainua wengine,,,na si kile cha kifahari ulichonunua
Ni kila upole,usawa,utu, na kuwanyanyua wote walio wahitaji,
nI vile ulivyo,wewe halisi,ulivyoyaishi maisha yako kwa ajili ya wengine
Si watu wangapi wanakufhamu,ama umaarufu wako bali ni kiasi gani wengine wataumia pale wanapokukosa
Ni ule umuhimu wako kwa wengine
Si kumbukumbu tu kwamba ulikwepo,bali ni kumbukumbu ya maisha ya wengine uliowabadilisha na kuwasaidia kufikia furaha.
Kitakachohesabika si ni muda gani utakmbukwa,bali ni nani na kwa nini unakumbukwa,ni kwa wema uliotenda
Katika maisha tuishio,ni muhimu kuishi maisha yenye faida kwa wengine....
jiulize ni nini kimekuleta duniani...ishi kilichokuleta - See more at: http://pongujoseph.blogspot.com/2012/09/ujumbe-2.html#sthash.nspMdMHf.dpuf
" Ipo siku ambayo hutahesabu tena ni nini unamiliki ama umepoteza.......
chuki,hasira na majaribu yote hayatakuwepo
Haitajalisha kuwa ulikuwa na sura nzuri ya mvuto ama ulionekana wa sura mbaya
wala ngozi,wala jina halitahesabika
Ni NINI KITAHESABIKA....
KiTAHESAbika ulichotoa kwa wengine na si ulichopokea
Kitahesabika ulichojenga ukiwa duniani,kilichowainua wengine,,,na si kile cha kifahari ulichonunua
Ni kila upole,usawa,utu, na kuwanyanyua wote walio wahitaji,
nI vile ulivyo,wewe halisi,ulivyoyaishi maisha yako kwa ajili ya wengine
Si watu wangapi wanakufahamu,ama umaarufu wako bali ni kiasi gani wengine wataumia pale wanapokukosa
Ni ule umuhimu wako kwa wengine
Si kumbukumbu tu kwamba ulikwepo,bali ni kumbukumbu ya maisha ya wengine uliowabadilisha na kuwasaidia kufikia furaha.
Kitakachohesabika si ni muda gani utakumbukwa,bali ni nani na kwa nini unakumbukwa,ni kwa wema uliotenda
Katika maisha tuishio,ni muhimu kuishi maisha yenye faida kwa wengine....
jiulize ni nini kimekuleta duniani...ishi kilichokuleta
-Pongu Joseph
Ipo siku ambayo hutahesabu tena ni nini unamiliki ama umepoteza.......
chuki,hasira na majaribu yote hayatakuwepo
Haitajalisha kuwa ulikuwa na sura nzuri ya mvuto ama ulionekana wa sura mbaya
wala ngozi,wala jina halitahesabika
Ni NINI KITAHESABIKA....
KiTAHESAbika ulichotoa kwa wengine na si ulichopokea
Kitahesabika ulichojenga ukiwa duniani,kilichowainua wengine,,,na si kile cha kifahari ulichonunua
Ni kila upole,usawa,utu, na kuwanyanyua wote walio wahitaji,
nI vile ulivyo,wewe halisi,ulivyoyaishi maisha yako kwa ajili ya wengine
Si watu wangapi wanakufhamu,ama umaarufu wako bali ni kiasi gani wengine wataumia pale wanapokukosa
Ni ule umuhimu wako kwa wengine
Si kumbukumbu tu kwamba ulikwepo,bali ni kumbukumbu ya maisha ya wengine uliowabadilisha na kuwasaidia kufikia furaha.
Kitakachohesabika si ni muda gani utakmbukwa,bali ni nani na kwa nini unakumbukwa,ni kwa wema uliotenda
Katika maisha tuishio,ni muhimu kuishi maisha yenye faida kwa wengine....
jiulize ni nini kimekuleta duniani...ishi kilichokuleta - See more at: http://pongujoseph.blogspot.com/2012/09/ujumbe-2.html#sthash.97x7DSLn.dpuf


Friday, August 30

KWA SABABU HATUVIONI HIVI NDANI MWETU,HATUWEZI KUWAPA WENGINE



Tuanze kwa kutafakari nyakati  hizi ambazo hutokea katika maisha yetu  mara kadhaa.
kuna nyakati za magumu na upweke ambazo hutufunza

Ni zile nyakati ambazo  unajihisi ukiwa mpweke na kutengwa.Ukihisi ya kuwa hakuna hata mmoja anayekusikilizane. Unapata hisia kuwa upo peke yakojapokuwa wapo watu wengine unaoishi nao na licha ya kuwa unatambua kuwa dunia imejaa watu wengi na viumbe wengi wanaokuzunguka.

Ni kweli kuwa licha ya kuwa dunia imezunguka,ni wewe ndiye uijazayo na unayeisanifu.Wewe kama nafsi watosha.Na unabaki wakati ambao aliyebaki kwako ni Mungu.

Nyakati hizi  hutokea pale unapokuwa unajihisi kuwa umekosa kitu(vitu) ulivyovihitaji maishani,na hata wakati kunapohisi kuwa una kila kitu ulichokihitaji maishani mwako.Pia huja katika nyakati ambazo karibu kila kitu ulichokuwa nacho umekipoteza ama umepewa kila kitu ambacho ulikipoteza.

Nyakati hizi zinapofika , ni nyakati za kupona  na kuachia majeraha  mengi ambayo yalikuwa yakikurudisha nyuma kwa muda mrefu maishani mwako.Na ni nyakati za uvumbuzi wa chemchem ndani mwako.Ni kipindi cha giza kiletacho mwanga.
Na katika nyakati hizi bado kuna kitu muhimu ambacho moyo wako unakihitaji sana na ambacho wengi hukitafuta kwa muda mrefu maishani-Ni kupendwa kwa dhati na kuthaminiwa..
 Je kuna yeyote anayenipenda na kunidhamini kwa dhati jinsi nilivyo?.Ni maswali ambayo utajiuliza sana katika nyakati hizi za ugunduzi.

Tumekuwa tukidhani kwamba tunaweza kupata upendo wa dhati na thamani ya kweli toka kwa wengine.Tumetafuta kwa muda sana upendo toka kwa ndugu,marafiki na majirani.Tumetafuta kwa wale tuliowaamini kwa dhati na mara nyingi kuishia kwenye kuumia.

Tukaingia kuutafuta upendo na thamani ndani yetu lakini mara nyingi tumeshindwa kuupata.Hivyo kushindwa kuutambua ndani mwetu kumetupelekea kushindwa kutoa kwa wengine. Na kwa vile tumeshindwa kuupata kwetu tumeitafuta tunapodhani upo ,tunaokosa na kuishia kuogopa kuweka matumaini yetu huko tulipodhani upo.

Na hivyo ndivyo itokeavyo,
Tunatafuta pale ambapo hatukuhifadhi.Na kama hatukuuweka upendo popote vivyo hivyo hatuwezi kuupata.Kile ambacho hatukitoa maishani hatuwezi kukipata kwa sababu hapa duniani sisi ndie wasanifu na wabomoaji.

Kama tunakosa kusamehewa ,ni kwa sababu hatukupata kusamehe.Kama hatuthaminiwi ni kwa sababu hatukupata kuijenga thamani sisi wenyewe.Kama hatuvumiliwi, ni kwa sababu hatukujenga uvumilivu  sisi wenyewe.Kama hatupati haki na usawa ni kwa sababu hatukuanza kuijenga ndani mwetu.Kama hatuupati upendo ,basi ni kwa sababu hatukupata kuujenga upendo ndani mwetu. Na kama hakuna ambaye anapata thamani toka kwa wengine,ni kwa sababu hatukuanza sisi kuijenga ndani mwetu.

Mambo yote haya ni lazima yaanze ndani kwetu sisi kisha yaende kwenye maisha ya wengine.
Kwa wengi wetu, tumekosa kujipa thamani yetu sisi na kujipenda , ni havyo ni vigume kutoa kwa wengine.Wengine wengi wanahisi hawana stahili ya mambo yote hayo .Tunajitazama sisi kama dhaifu kuliko wengine ama bora kuliko wengine.

Hatuuoni uzuri uliopo ndani mwetu uliojazwa na uzuri wa Muumba.Hatuoni uaminifu ndani mwetu.Hatuoni usafi ndani mwetu.
Kwa sababu hatuvioni hivi vyote ndani mwetu,hatuwezi kuwapa wengine.
Lakini  PIA kwa sababu si kwamba sisi ni vipofu mioyoni mwetu,tunaviona kwa wengine na kuvihitaji tusitambue kuwa tunavyo.Ni mara nyingi tunaona upendo kwa wengine,tunaona huruma kwa wengine,tunauona usafi wa moyo kwa wengine,tunayaona matumaini kwa wengine. Hivyo kwa kuviona kwa wengine, tunajaribu kutenda kwa baadhi yao lakini si ndani mwetu
mara nyingi tunaona upendo,huruma kwa wengine

Je tunaweza kujitendea nafsii zetu?

Mara nyingi tunashindwa kwa sababu ya vidonda tulivyonavyo.
Kwa sababu ya vidonda tulivyonavyo,tunashindwa pia kutibu majeraha ya wengine.Hivyo hatuthamini jinsi dunia inavyotuhitaji kila mmoja kwa nafsi yetu.
Tunashindwa kutambua kuwa dunia inahitaji kile kitokacho ndani mwetu ikiwemo upendo,usawa,haki,thamani kwa wengine,uvumilivu na kujitolea.Tunaishia kuilamu dunia tusijue kuwa ni sisi ndio tulioanza kuisanifu.Na hivyo tunaweka picha ndani mwetu kuwa dunia ni mbaya na onevu tena sehemu ya kupita kwa machungu.

Hatuwezi kupata kutoka katika dunia vile ambavyo hatukuvipanda. Na sasa tunapaswa kukumbuka hapa kuwa : Chochote ambacho hatukukipanda duniani,hatuwezi kukipata katika dunia hiyohiyo.Tunavuna tulichopanda
Hapa ndipo unapokuja wakati tunapogundua kuwa sisi ndio wasanifu wa dunia na kila kilichomo.Ni wasanifu wa maisha ya leo na ya kizazi kijacho.Hakuna atakaye tupatia chochote kile ambacho hatukuanza sisi kukipanda na kukitoa kwa dunia hii tuishimo.Na mara nyingi tunamuomba Mungu na wakati mwingine kumlaumu kwa kutotupatia kileambacho hatukuanza sisi kukitengeneza na hata kukitoa kwa wengine pale tulipostahili kufanya hivyo
Nadhani ni wakati kwa viongozi wetu wa dini kuanza kufundisha hili.

Tunaweza kuanza kuona mifano katika kati mahusiano yetu.Kama huwezi kumsamehe unayeishi nae,unashindwa kumpenda,kuishi nae kwa amani na uhuru na hata kumvumilia,ni vigumu kutarajia kupata kutoka kwa huyohuyo unayeishi nae na kulala upendo,thamani,uvumilivu,uhuru,amani na thamani ya kweli.Tutapata kadiri tulivyotoa

Huwa tunafikiri kuwa  ndani ya mahusiano,mwenzi atakupatia vitu ambavyo unajihisi huna.Tunadhani tutapata upendo ambao sisis hatuutoi,msamaha ambao sisi wenyewe hatuutoi.Ni huu ni moja ya uongo mkubwa tunaoajidanganya ndani ya nafsi zetu.

Tunapotamani kupatiwa pasipo kutoa,mwisho wake kila kitu hufifia,kasha chuki huingia na kasha mahusiano hufa.Kisha tunagundua kuwa ni sisi wenyewe tulijidanganya.Sasa tiunatambua kuwa hakuna pa kukimbilia zaidi ya Mungu. Tunarudi kwa Mungu na kumwambia…"Tafadhali Mungu wangu naomba unisamehe.Naomba unijalie amani na upendo,nijalie uvumilivu na moyo wa kujitolea.Nakuomba baba unijalie hivi nami niwagawie wenzangu."

Kwa sasa dunia ipo kwenye machafuko na chuki. Majivuno,visasi na dharau vimetawala.Tumejenga wenyewe tena toka ndani mwetu.Na muda si mrefu baada ya mambo haya kukithiri,Binadamu watatambua kuwa sasa tutavipata kwa Mungu,naye ni Muweza na chemchem ya kila kitu.

Na wakati huo binadamu watatambua kuwa hakuna utengano kati ya Muumba,chemchem ya kila jambo na Nafsi ya kila binadamu.Binadamu watatambua kuwa miili yetu imebeba nafsi ndani,ambapo ndiko hekalu la chemchem ya kila jambo huishi. Kila mmoja atatambua umuhimu wa nafsi yake na jinsi anavyohusika katika ujenzi wa dunia.Kila mmoja ataanza kuchukua hatua katika kutambua matokeo ya kila jambo analotenda.

Kila nafsi itajifunza kupanda na kutaraji mavuno.Kila nafsi itathamini nafsi nyingine na kila nafsi itatambua kuwa inahusika kujenga dunia mpya na  haitakuwa tayari kulaumu dunia na kudai dunia kile ambacho haikukipanda wala kukitoa.Kisha dunia itakuwa sehemu bora ya kuishi

Ndani mwako kuna pumziko la kweli,furaha,amani,nuru ya kweli na chemchem ya uumbaji wa Mungu ambayo Mungu amekupa na kukuleta hapa duniani.Ukisikiliza moyo wako unaweza kutambua mengi yaliyo ndani mwako....Kazi yako ukiwa hapa duniani ni kutoa ulichonacho,kilicho ndani mwako kwa ajili ya wengine

Mpaka sasa wachache wanalitambua hili.Na wasiotambua huilamu dunia kila kukicha.Na hivyo wasio tayari kutambua hili watasubiri mpaka ule wakati watakapolia na kugundua hakuna zaidi ya Mungu na kasha kugundua hekalu la chemchem yake ndani mwao . Hii itakuja bada ya kubomoa mengi…ndoa,familia,amani,upendo na kIsha nafsi NA baadae kufanya juhudi kujijenga upya

Kila mmoja akiwa kama nafsi huru anapaswa kuchukua hatua,hasa kutambua kuwa hakuna mwingine zaidi ya Mungu, na kasha kuchimba ndani kutambua kuwa sisi ni hekalu iishipo nuru na chemchem ya kila tunachokihitaji

Unapoanza kumuona Mungu katika kila kiumbe kinachokuzunguka unatambua kuwa sasa umezaliwa upya.Sauti yake inakuwa ikiongea nawe ndani mwako toka ndani yako.Unatambua kuwa Mungu hayupo mbali nawe bali yupo ndani mwako wakati wote.Unaruhusu nguvu na chemchem ya kila ushindi kufanya kazi ndani yako na kukupa nafasi ya kugundua nguvu hii iliyo ndani mwako na kuitumia kuifanya dunia kuwa sehemu bora kwa viumbe wote
.Mungu ametupatia uwezo mkubwa wa kuyafanya maisha yetu kuwa yenye faida kwa wengine,na husubiri maamuzi yetu ili kutuonesha njia.Tunapokuwa tayari anatufundisha maana ya kuwa hapa na thamani ya maisha yetu . Ndipo unapomjua tena si kama kiumbe cha kutisha ama kisichoonekana lakini kama sehemu muhimu ndani mwako.Kisichoonekana ndani mwetu kinazaliwa upya na kuonekana kwa kila anayekuzunguka.Kisha hutupatia kila uwezo na kuingia ndani ya kila kilicho mwilini mwetu kwa maelfu,tayari kwa kumtumikia kwa njia mbalimbali. Tunajenga dunia mpya yenye matumaini na furaha


Maisha yako yanaongea

 
matendo yako kwa wengine huonesha jinsi ulivyo

Ukitambua kuwa maisha yako ni ya thamani kwako na kwa wengine,unafungua ndani ya moyo wako kuishi kwa dhati.Sauti ndani mwako inaanza kusikika kwa viumbe wengine.Unapata thamani zaidi kupita vito vya thamani na zaidi ya fedha.
Maisha yako yanakuwa mwanga kwa viumbe wote.Unaanza kutumia kila kipawa na nafasi unayopewa na Muumba kwa ajili ya wote kwa utukufu wake yeye.Maisha yako yanaongea

Wednesday, August 28

PENDEKEZA BLOGU HII KWENYE SHINDANO LA BLOG 2013



 blog award
Kwa wasomaji wa makala mbalimbali kupitia  blog hii  hasa wale ambao kwa njia moja ama nyingine,makala mbalimbali zimewagusa na hata kuwasaidia katika nyanja mbalimbali ,nawaomba  kuipendekeze blog hii iitwayo KWA MWANANGU MPENDWA kwenye shindalo la blog Bora Tanzania kwa mwaka 2013.
Shindano hili lenye lengo la kuwatangaza bloggers mbalimbali wa Tanzania linaanza na hatua ya pendekezo la blog kuanzia tarehe 02/08/2013 hadi 30/08/2013.
Kuingia kwa blog hii kwenye shindano hili si kwa lengo la manufaa binafsi bali ni njia ya kuwafikishia ujumbe na kuwaamsha wengine wajitambue.Tukumbuke kuwa sisi sote tunategemeana.

Na ili blog hii iweze kuingia kwenye shindano na kushinda, ni muhimu kwa wewe kuipendekeza na baadae kuipigia kura.

Tafadhali saidia wengine wapate ujumbe  kwa kuipendekeza blog hii katika vipengele vifuatavyo;
BEST CREATIVE WRITING BLOG
BEST EDUCATIONAL BLOG
BEST INSPIRATION BLOG

JINSI YA KUPENDEKEZA
Andika email kwenda tanzanianblogawards@gmail.com

Body andika pendekezo kati ya haya ama yote kadiri utakavyovutwa nafsini mwako;

Best Creative Writting Blog,
Best Educational Blog,
Best Inspiration Blog
Asante kwa ushirikiano wako na endelea kuwashirikisha wenzako makala za blog hii.

KWA MAELEZO ZAIDI;
Vipengele vya Kushiriki na Sheria za Shindano la Mwaka Huu 2013
Hii post ni kwa kiswahili....lakini maelekezo yake ni sawa na hivyo iliyopita
Tafadhali soma vizuri. Mwaka huu tumebadilisha,vipengele vya shindano letu na sheria ya shindano letu.  Kwa blog yako au blog unayotaka ipendekezwe tafadhali wataarifu bloggers hao, hatutaki kushirikisha bloggers ambao hawataki kuhusishwa katika shindano hili. Sasa ili tujue kuwa blogger huyo unayempendekeza amekubali au anajua kushirikishwa kwake katika shindano hili mwambie alink blog yake katika shindano letu.
Jinsi ya kulink
1. Aandike post kuhusu shindano hili na kuwataarifu wasomaje wake katika post hiyo alinki kwetu...Tanzanian blog awards link. 
2. Kama blog unayoipendekaza hatafanya hivyo blog yake haitashirikishwa
3. Unaweza kupendekeza blog katika vipengele vingi upedavyo lakini katika kila email unayotuma ni blog moja tu utaruhusiwa kuipendekeza kwa wakati mmoja
mfano:  Kwenye subject unaandika jina la blog unayotaka kuipendekeza 
              tanzanianblogawards.blogspot.com
Kwenye body ya email unaandika vipengele unayotaka blog hiyo ishirikishwe
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
etc etc  
4. Email iwe ni ya ukweli kama tukiwa tunataka kuwasiliana na wewe kuhusu link ya blog uliyopendekeza tuweze kufanya hivyo na tuma mapendekezo yako kwa hii hapa Email


nomination@bloggersassociationoftanzania.com au tanzanianblogawards@gmail.com
5. Mwanzo wa kupokea mapendekezo hayo ni
Tarehe 17/8/ 2013 saa 12:01am mpaka tarehe 30/8/2013 saa 11:59pm saa za Africa mashariki
Vipengele 
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
Best Business Blog
Best Creative Writing Blog
Best Design/Graphic Design Blog
Best Educational Blog
Best Entertainments
Best Food Blog
Best General Blog
Best Inspiration Blog
Best Newcomer Blog
Best News Blog
Best Photography Blog
Best Political Blog
Best Religion Blog
Best Sports Blog
Best Technology Blog
Best Tots Blog  (17 yr old and below)
Best Travel Blogs


 blog award
Kama wewe ni msomaji wa makala mbalimbali kwenye blog hii na kwa namna moja zimekusaidia ama kukuhamasisha naomba uipendekeze blog hii iingie kwenye shindano la blog Tanzania.
  Kama blog hii itafanikiwa kuingia kwenye shindano hilo na kushinda ni dhahiri yaliyomo humu yatawafikia wengi zaidi na tukaendelea kusaidiana ili kufikia malengo yetu kwa pamoja.
  Na ili blog hii iweze kuingia kwenye shindano na kushinda, ni muhimu kwa wewe kuipendekeza na baadae kuipigia kura.
  Tafadhali sana chukua muda wako kidogo kwa kuipendekeza blog hii katika vipengele vifuatavyo;
BEST EDUCATIONAL BLOG
BEST INSPIRATION BLOG
JINSI YA KUPENDEKEZA
Andika email kwenda tanzanianblogawards@gmail.com
subject weka http://amkamtanzania.blogspot.com/
body andika; Best Educational Blog, Best Inspiration Blog
  Asante kwa ushirikiano wako na endelea kuwashirikisha wenzako makala za blog hii.
KWA MAELEZO ZAIDI;
Vipengele vya Kushiriki na Sheria za Shindano la Mwaka Huu 2013
Hii post ni kwa kiswahili....lakini maelekezo yake ni sawa na hivyo iliyopita
Tafadhali soma vizuri. Mwaka huu tumebadilisha,vipengele vya shindano letu na sheria ya shindano letu.  Kwa blog yako au blog unayotaka ipendekezwe tafadhali wataarifu bloggers hao, hatutaki kushirikisha bloggers ambao hawataki kuhusishwa katika shindano hili. Sasa ili tujue kuwa blogger huyo unayempendekeza amekubali au anajua kushirikishwa kwake katika shindano hili mwambie alink blog yake katika shindano letu.
Jinsi ya kulink
1. Aandike post kuhusu shindano hili na kuwataarifu wasomaje wake katika post hiyo alinki kwetu...Tanzanian blog awards link. 
2. Kama blog unayoipendekaza hatafanya hivyo blog yake haitashirikishwa
3. Unaweza kupendekeza blog katika vipengele vingi upedavyo lakini katika kila email unayotuma ni blog moja tu utaruhusiwa kuipendekeza kwa wakati mmoja
mfano:  Kwenye subject unaandika jina la blog unayotaka kuipendekeza 
              tanzanianblogawards.blogspot.com
Kwenye body ya email unaandika vipengele unayotaka blog hiyo ishirikishwe
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
etc etc  
4. Email iwe ni ya ukweli kama tukiwa tunataka kuwasiliana na wewe kuhusu link ya blog uliyopendekeza tuweze kufanya hivyo na tuma mapendekezo yako kwa hii hapa Email

nomination@bloggersassociationoftanzania.com au tanzanianblogawards@gmail.com
5. Mwanzo wa kupokea mapendekezo hayo ni
Tarehe 17/8/ 2013 saa 12:01am mpaka tarehe 30/8/2013 saa 11:59pm saa za Africa mashariki
Vipengele 
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
Best Business Blog
Best Creative Writing Blog
Best Design/Graphic Design Blog
Best Educational Blog
Best Entertainments
Best Food Blog
Best General Blog
Best Inspiration Blog
Best Newcomer Blog
Best News Blog
Best Photography Blog
Best Political Blog
Best Religion Blog
Best Sports Blog
Best Technology Blog
Best Tots Blog  (17 yr old and below)
Best Travel Blogs
- See more at: http://amkamtanzania.blogspot.com/2013/08/pendekeza-blog-hii-kuingia-kwenye.html#sthash.W51wxo7D.dpuf

 blog award
Kama wewe ni msomaji wa makala mbalimbali kwenye blog hii na kwa namna moja zimekusaidia ama kukuhamasisha naomba uipendekeze blog hii iingie kwenye shindano la blog Tanzania.
  Kama blog hii itafanikiwa kuingia kwenye shindano hilo na kushinda ni dhahiri yaliyomo humu yatawafikia wengi zaidi na tukaendelea kusaidiana ili kufikia malengo yetu kwa pamoja.
  Na ili blog hii iweze kuingia kwenye shindano na kushinda, ni muhimu kwa wewe kuipendekeza na baadae kuipigia kura.
  Tafadhali sana chukua muda wako kidogo kwa kuipendekeza blog hii katika vipengele vifuatavyo;
BEST EDUCATIONAL BLOG
BEST INSPIRATION BLOG
JINSI YA KUPENDEKEZA
Andika email kwenda tanzanianblogawards@gmail.com
subject weka http://amkamtanzania.blogspot.com/
body andika; Best Educational Blog, Best Inspiration Blog
  Asante kwa ushirikiano wako na endelea kuwashirikisha wenzako makala za blog hii.
KWA MAELEZO ZAIDI;
Vipengele vya Kushiriki na Sheria za Shindano la Mwaka Huu 2013
Hii post ni kwa kiswahili....lakini maelekezo yake ni sawa na hivyo iliyopita
Tafadhali soma vizuri. Mwaka huu tumebadilisha,vipengele vya shindano letu na sheria ya shindano letu.  Kwa blog yako au blog unayotaka ipendekezwe tafadhali wataarifu bloggers hao, hatutaki kushirikisha bloggers ambao hawataki kuhusishwa katika shindano hili. Sasa ili tujue kuwa blogger huyo unayempendekeza amekubali au anajua kushirikishwa kwake katika shindano hili mwambie alink blog yake katika shindano letu.
Jinsi ya kulink
1. Aandike post kuhusu shindano hili na kuwataarifu wasomaje wake katika post hiyo alinki kwetu...Tanzanian blog awards link. 
2. Kama blog unayoipendekaza hatafanya hivyo blog yake haitashirikishwa
3. Unaweza kupendekeza blog katika vipengele vingi upedavyo lakini katika kila email unayotuma ni blog moja tu utaruhusiwa kuipendekeza kwa wakati mmoja
mfano:  Kwenye subject unaandika jina la blog unayotaka kuipendekeza 
              tanzanianblogawards.blogspot.com
Kwenye body ya email unaandika vipengele unayotaka blog hiyo ishirikishwe
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
etc etc  
4. Email iwe ni ya ukweli kama tukiwa tunataka kuwasiliana na wewe kuhusu link ya blog uliyopendekeza tuweze kufanya hivyo na tuma mapendekezo yako kwa hii hapa Email

nomination@bloggersassociationoftanzania.com au tanzanianblogawards@gmail.com
5. Mwanzo wa kupokea mapendekezo hayo ni
Tarehe 17/8/ 2013 saa 12:01am mpaka tarehe 30/8/2013 saa 11:59pm saa za Africa mashariki
Vipengele 
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
Best Business Blog
Best Creative Writing Blog
Best Design/Graphic Design Blog
Best Educational Blog
Best Entertainments
Best Food Blog
Best General Blog
Best Inspiration Blog
Best Newcomer Blog
Best News Blog
Best Photography Blog
Best Political Blog
Best Religion Blog
Best Sports Blog
Best Technology Blog
Best Tots Blog  (17 yr old and below)
Best Travel Blogs
- See more at: http://amkamtanzania.blogspot.com/2013/08/pendekeza-blog-hii-kuingia-kwenye.html#sthash.W51wxo7D.dpuf

 blog award
Kama wewe ni msomaji wa makala mbalimbali kwenye blog hii na kwa namna moja zimekusaidia ama kukuhamasisha naomba uipendekeze blog hii iingie kwenye shindano la blog Tanzania.
  Kama blog hii itafanikiwa kuingia kwenye shindano hilo na kushinda ni dhahiri yaliyomo humu yatawafikia wengi zaidi na tukaendelea kusaidiana ili kufikia malengo yetu kwa pamoja.
  Na ili blog hii iweze kuingia kwenye shindano na kushinda, ni muhimu kwa wewe kuipendekeza na baadae kuipigia kura.
  Tafadhali sana chukua muda wako kidogo kwa kuipendekeza blog hii katika vipengele vifuatavyo;
BEST EDUCATIONAL BLOG
BEST INSPIRATION BLOG
JINSI YA KUPENDEKEZA
Andika email kwenda tanzanianblogawards@gmail.com
subject weka http://amkamtanzania.blogspot.com/
body andika; Best Educational Blog, Best Inspiration Blog
  Asante kwa ushirikiano wako na endelea kuwashirikisha wenzako makala za blog hii.
KWA MAELEZO ZAIDI;
Vipengele vya Kushiriki na Sheria za Shindano la Mwaka Huu 2013
Hii post ni kwa kiswahili....lakini maelekezo yake ni sawa na hivyo iliyopita
Tafadhali soma vizuri. Mwaka huu tumebadilisha,vipengele vya shindano letu na sheria ya shindano letu.  Kwa blog yako au blog unayotaka ipendekezwe tafadhali wataarifu bloggers hao, hatutaki kushirikisha bloggers ambao hawataki kuhusishwa katika shindano hili. Sasa ili tujue kuwa blogger huyo unayempendekeza amekubali au anajua kushirikishwa kwake katika shindano hili mwambie alink blog yake katika shindano letu.
Jinsi ya kulink
1. Aandike post kuhusu shindano hili na kuwataarifu wasomaje wake katika post hiyo alinki kwetu...Tanzanian blog awards link. 
2. Kama blog unayoipendekaza hatafanya hivyo blog yake haitashirikishwa
3. Unaweza kupendekeza blog katika vipengele vingi upedavyo lakini katika kila email unayotuma ni blog moja tu utaruhusiwa kuipendekeza kwa wakati mmoja
mfano:  Kwenye subject unaandika jina la blog unayotaka kuipendekeza 
              tanzanianblogawards.blogspot.com
Kwenye body ya email unaandika vipengele unayotaka blog hiyo ishirikishwe
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
etc etc  
4. Email iwe ni ya ukweli kama tukiwa tunataka kuwasiliana na wewe kuhusu link ya blog uliyopendekeza tuweze kufanya hivyo na tuma mapendekezo yako kwa hii hapa Email

nomination@bloggersassociationoftanzania.com au tanzanianblogawards@gmail.com
5. Mwanzo wa kupokea mapendekezo hayo ni
Tarehe 17/8/ 2013 saa 12:01am mpaka tarehe 30/8/2013 saa 11:59pm saa za Africa mashariki
Vipengele 
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
Best Business Blog
Best Creative Writing Blog
Best Design/Graphic Design Blog
Best Educational Blog
Best Entertainments
Best Food Blog
Best General Blog
Best Inspiration Blog
Best Newcomer Blog
Best News Blog
Best Photography Blog
Best Political Blog
Best Religion Blog
Best Sports Blog
Best Technology Blog
Best Tots Blog  (17 yr old and below)
Best Travel Blogs
- See more at: http://amkamtanzania.blogspot.com/2013/08/pendekeza-blog-hii-kuingia-kwenye.html#sthash.W51wxo7D.dpuf

 blog award
Kama wewe ni msomaji wa makala mbalimbali kwenye blog hii na kwa namna moja zimekusaidia ama kukuhamasisha naomba uipendekeze blog hii iingie kwenye shindano la blog Tanzania.
  Kama blog hii itafanikiwa kuingia kwenye shindano hilo na kushinda ni dhahiri yaliyomo humu yatawafikia wengi zaidi na tukaendelea kusaidiana ili kufikia malengo yetu kwa pamoja.
  Na ili blog hii iweze kuingia kwenye shindano na kushinda, ni muhimu kwa wewe kuipendekeza na baadae kuipigia kura.
  Tafadhali sana chukua muda wako kidogo kwa kuipendekeza blog hii katika vipengele vifuatavyo;
BEST EDUCATIONAL BLOG
BEST INSPIRATION BLOG
JINSI YA KUPENDEKEZA
Andika email kwenda tanzanianblogawards@gmail.com
subject weka http://amkamtanzania.blogspot.com/
body andika; Best Educational Blog, Best Inspiration Blog
  Asante kwa ushirikiano wako na endelea kuwashirikisha wenzako makala za blog hii.
KWA MAELEZO ZAIDI;
Vipengele vya Kushiriki na Sheria za Shindano la Mwaka Huu 2013
Hii post ni kwa kiswahili....lakini maelekezo yake ni sawa na hivyo iliyopita
Tafadhali soma vizuri. Mwaka huu tumebadilisha,vipengele vya shindano letu na sheria ya shindano letu.  Kwa blog yako au blog unayotaka ipendekezwe tafadhali wataarifu bloggers hao, hatutaki kushirikisha bloggers ambao hawataki kuhusishwa katika shindano hili. Sasa ili tujue kuwa blogger huyo unayempendekeza amekubali au anajua kushirikishwa kwake katika shindano hili mwambie alink blog yake katika shindano letu.
Jinsi ya kulink
1. Aandike post kuhusu shindano hili na kuwataarifu wasomaje wake katika post hiyo alinki kwetu...Tanzanian blog awards link. 
2. Kama blog unayoipendekaza hatafanya hivyo blog yake haitashirikishwa
3. Unaweza kupendekeza blog katika vipengele vingi upedavyo lakini katika kila email unayotuma ni blog moja tu utaruhusiwa kuipendekeza kwa wakati mmoja
mfano:  Kwenye subject unaandika jina la blog unayotaka kuipendekeza 
              tanzanianblogawards.blogspot.com
Kwenye body ya email unaandika vipengele unayotaka blog hiyo ishirikishwe
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
etc etc  
4. Email iwe ni ya ukweli kama tukiwa tunataka kuwasiliana na wewe kuhusu link ya blog uliyopendekeza tuweze kufanya hivyo na tuma mapendekezo yako kwa hii hapa Email

nomination@bloggersassociationoftanzania.com au tanzanianblogawards@gmail.com
5. Mwanzo wa kupokea mapendekezo hayo ni
Tarehe 17/8/ 2013 saa 12:01am mpaka tarehe 30/8/2013 saa 11:59pm saa za Africa mashariki
Vipengele 
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
Best Business Blog
Best Creative Writing Blog
Best Design/Graphic Design Blog
Best Educational Blog
Best Entertainments
Best Food Blog
Best General Blog
Best Inspiration Blog
Best Newcomer Blog
Best News Blog
Best Photography Blog
Best Political Blog
Best Religion Blog
Best Sports Blog
Best Technology Blog
Best Tots Blog  (17 yr old and below)
Best Travel Blogs
- See more at: http://amkamtanzania.blogspot.com/2013/08/pendekeza-blog-hii-kuingia-kwenye.html#sthash.W51wxo7D.dpuf

 blog award
Kama wewe ni msomaji wa makala mbalimbali kwenye blog hii na kwa namna moja zimekusaidia ama kukuhamasisha naomba uipendekeze blog hii iingie kwenye shindano la blog Tanzania.
  Kama blog hii itafanikiwa kuingia kwenye shindano hilo na kushinda ni dhahiri yaliyomo humu yatawafikia wengi zaidi na tukaendelea kusaidiana ili kufikia malengo yetu kwa pamoja.
  Na ili blog hii iweze kuingia kwenye shindano na kushinda, ni muhimu kwa wewe kuipendekeza na baadae kuipigia kura.
  Tafadhali sana chukua muda wako kidogo kwa kuipendekeza blog hii katika vipengele vifuatavyo;
BEST EDUCATIONAL BLOG
BEST INSPIRATION BLOG
JINSI YA KUPENDEKEZA
Andika email kwenda tanzanianblogawards@gmail.com
subject weka http://amkamtanzania.blogspot.com/
body andika; Best Educational Blog, Best Inspiration Blog
  Asante kwa ushirikiano wako na endelea kuwashirikisha wenzako makala za blog hii.
KWA MAELEZO ZAIDI;
Vipengele vya Kushiriki na Sheria za Shindano la Mwaka Huu 2013
Hii post ni kwa kiswahili....lakini maelekezo yake ni sawa na hivyo iliyopita
Tafadhali soma vizuri. Mwaka huu tumebadilisha,vipengele vya shindano letu na sheria ya shindano letu.  Kwa blog yako au blog unayotaka ipendekezwe tafadhali wataarifu bloggers hao, hatutaki kushirikisha bloggers ambao hawataki kuhusishwa katika shindano hili. Sasa ili tujue kuwa blogger huyo unayempendekeza amekubali au anajua kushirikishwa kwake katika shindano hili mwambie alink blog yake katika shindano letu.
Jinsi ya kulink
1. Aandike post kuhusu shindano hili na kuwataarifu wasomaje wake katika post hiyo alinki kwetu...Tanzanian blog awards link. 
2. Kama blog unayoipendekaza hatafanya hivyo blog yake haitashirikishwa
3. Unaweza kupendekeza blog katika vipengele vingi upedavyo lakini katika kila email unayotuma ni blog moja tu utaruhusiwa kuipendekeza kwa wakati mmoja
mfano:  Kwenye subject unaandika jina la blog unayotaka kuipendekeza 
              tanzanianblogawards.blogspot.com
Kwenye body ya email unaandika vipengele unayotaka blog hiyo ishirikishwe
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
etc etc  
4. Email iwe ni ya ukweli kama tukiwa tunataka kuwasiliana na wewe kuhusu link ya blog uliyopendekeza tuweze kufanya hivyo na tuma mapendekezo yako kwa hii hapa Email

nomination@bloggersassociationoftanzania.com au tanzanianblogawards@gmail.com
5. Mwanzo wa kupokea mapendekezo hayo ni
Tarehe 17/8/ 2013 saa 12:01am mpaka tarehe 30/8/2013 saa 11:59pm saa za Africa mashariki
Vipengele 
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
Best Business Blog
Best Creative Writing Blog
Best Design/Graphic Design Blog
Best Educational Blog
Best Entertainments
Best Food Blog
Best General Blog
Best Inspiration Blog
Best Newcomer Blog
Best News Blog
Best Photography Blog
Best Political Blog
Best Religion Blog
Best Sports Blog
Best Technology Blog
Best Tots Blog  (17 yr old and below)
Best Travel Blogs
- See more at: http://amkamtanzania.blogspot.com/2013/08/pendekeza-blog-hii-kuingia-kwenye.html#sthash.W51wxo7D.dpuf