Nuru Ndani Yako

Nuru Ndani Yako
Nuru Ndani Yako
Subscribe For Free Updates!

We'll not spam mate! We promise.

KARIBU SANA

HONGERA KWA KUCHAGUA BLOG HII.MAISHA NI UCHAGUZI...NA KILA UCHAGUZI NI SAHIHI....KILA UCHAGUZI UNA MATOKEO YAKE.......KUCHAGUA KUSOMA YALIYO KATIKA BLOG HII KUTAKUFANYA UJITAMBUE,,UUJUE UWEZO MKUBWA ULIO NDANI MWAKO NA HIVYO KUFIKIA MAFANIKIO UNAYOYAKUSUDIA........WEWE NI ZAIDI YA UJIONAVYO,NI ZAIDI YA UJIPIMIAVYO.....UTATAMBUA YA KUWA MUNGU AMBAYE KILA UCHAO WATU WANAMTAFUTA...YU NDANI MWAKO.....UTATAMBUA KUWA U MWANGAZA.....NA UTATAMBUA JINSI YA KUUTUMIA KUWAMULIKA WENGINE...NA KUIFANYA NURU YA MUNGU ILIYO NDANI MWAKO IONEKANA KWA WENGINE-PONGU JOSEPH

Sunday, September 8

JINSI YA KUPIGIA KURA BLOG YAKO KATIKA SHINDANO LA TANZANIA BLOG AWARDS

Napenda kuchukua fursa hii kutoa shukrani zangu kwenu kwa kupendekeza blog hii kushiriki katika shindano la Tanzania blog awards. Blog hii imependekezwa katika vipengele viwili ambavyo ni

1. Best Inspirational Blog
2. Best Creative Writing Blog


 Nakuomba kwa nafasi yako uchukue muda kuipigia kura blogu yako katika vipengele tajwa hapo juu kabla ya tarehe 15/09/2013 kwa njia zifuatazo
(a)Bonyeza hapa  kisha chagua pongujoseph.blogspot.com
(b)-(i) Kwa kupigia kura Best Inspirational Blog bonyeza hapa
      (ii) Kwa kupigia kura Best Creative writing Blog Bonyeza hapa
Hakikisha unachagua pongujoseph.blogspot.com

Ahsante sana kwa ushirikiano

Kwa maoni,maswali ama ushauri usisite kuniandikia +255765046644, Whatsapp namba +255765046644

Please Give Us Your 1 Minute In Sharing This Post!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 Comments:

Post a Comment

maoni yako hapa