matendo yako kwa wengine huonesha jinsi ulivyo
Ukitambua kuwa maisha yako ni ya thamani kwako
na kwa wengine,unafungua ndani ya moyo wako kuishi kwa dhati.Sauti
ndani mwako inaanza kusikika kwa viumbe wengine.Unapata thamani zaidi
kupita vito vya thamani na zaidi ya fedha.
Maisha yako yanakuwa mwanga kwa
viumbe wote.Unaanza kutumia kila kipawa na nafasi unayopewa na Muumba
kwa ajili ya wote kwa utukufu wake yeye.Maisha yako yanaongea
KARIBU SANA
HONGERA KWA KUCHAGUA BLOG HII.MAISHA NI UCHAGUZI...NA KILA UCHAGUZI NI SAHIHI....KILA UCHAGUZI UNA MATOKEO YAKE.......KUCHAGUA KUSOMA YALIYO KATIKA BLOG HII KUTAKUFANYA UJITAMBUE,,UUJUE UWEZO MKUBWA ULIO NDANI MWAKO NA HIVYO KUFIKIA MAFANIKIO UNAYOYAKUSUDIA........WEWE NI ZAIDI YA UJIONAVYO,NI ZAIDI YA UJIPIMIAVYO.....UTATAMBUA YA KUWA MUNGU AMBAYE KILA UCHAO WATU WANAMTAFUTA...YU NDANI MWAKO.....UTATAMBUA KUWA U MWANGAZA.....NA UTATAMBUA JINSI YA KUUTUMIA KUWAMULIKA WENGINE...NA KUIFANYA NURU YA MUNGU ILIYO NDANI MWAKO IONEKANA KWA WENGINE-PONGU JOSEPH
Friday, August 30
Maisha yako yanaongea
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments:
Post a Comment
maoni yako hapa