![]() |
matendo yako kwa wengine huonesha jinsi ulivyo |
Ukitambua kuwa maisha yako ni ya thamani kwako na kwa wengine,unafungua ndani ya moyo wako kuishi kwa dhati.Sauti ndani mwako inaanza kusikika kwa viumbe wengine.Unapata thamani zaidi kupita vito vya thamani na zaidi ya fedha.
Maisha yako yanakuwa mwanga kwa viumbe wote.Unaanza kutumia kila kipawa na nafasi unayopewa na Muumba kwa ajili ya wote kwa utukufu wake yeye.Maisha yako yanaongea
0 Comments:
Post a Comment
maoni yako hapa