Nuru Ndani Yako

Nuru Ndani Yako
Nuru Ndani Yako
Subscribe For Free Updates!

We'll not spam mate! We promise.

KARIBU SANA

HONGERA KWA KUCHAGUA BLOG HII.MAISHA NI UCHAGUZI...NA KILA UCHAGUZI NI SAHIHI....KILA UCHAGUZI UNA MATOKEO YAKE.......KUCHAGUA KUSOMA YALIYO KATIKA BLOG HII KUTAKUFANYA UJITAMBUE,,UUJUE UWEZO MKUBWA ULIO NDANI MWAKO NA HIVYO KUFIKIA MAFANIKIO UNAYOYAKUSUDIA........WEWE NI ZAIDI YA UJIONAVYO,NI ZAIDI YA UJIPIMIAVYO.....UTATAMBUA YA KUWA MUNGU AMBAYE KILA UCHAO WATU WANAMTAFUTA...YU NDANI MWAKO.....UTATAMBUA KUWA U MWANGAZA.....NA UTATAMBUA JINSI YA KUUTUMIA KUWAMULIKA WENGINE...NA KUIFANYA NURU YA MUNGU ILIYO NDANI MWAKO IONEKANA KWA WENGINE-PONGU JOSEPH

Sunday, January 20

KANUNI YA MAFANIKIO MAISHANI

Kutekeleza majukumu yote kwa uaminifu na bila shuruti..kujiamini katika Kila ukifanyacho binafsi na ktk maamuzi ya jumuia..
Kuwa na moyo wa imani kuwa unao uwezo wa kufanya kitu kipya chochote unachokidhamiria hata kama wapo wameamini ya kuwa haiwezekani...
Kuwa na tumaini moyoni mwako na kuwa kioo kwa wote wanaokuzunguka..
Uwe na moyo wa kujitolea kila wakati...kupenda na kuwajali wote na kwa maana hiyo kuufundisha upendo kwa wengine...
Jiamini na kupigania imani yako.
Kuwa tayari kutenda kwa wema kwa wengine,na kujifunza na kutoa kwa wale wenye mahitaji..
Jitolea kwao pasipo fikira na malengo ya kujipatia ama sifa ama zawadi yeyote.
Jiamini na kutenda na kufikiri kwa mfano wako wa kipekee bila kupotoshwa ama kutegemea fikra na njia za watu,kwani hizo zitakupeleka ktk matokeo yao,bali sikiliza sauti iliyo moyoni mwako ili maisha yako yawe ya mfano kwa watu wote,na kwa kufanya hivi utawaafundisha wengine kujitambua na kuishi maisha yao yasiyo ya bandia.. Waunge mkono wote wenye kuhitaji,fundisha kila jambo unalofahamu kuwa ni la manufaa ...Amina

Please Give Us Your 1 Minute In Sharing This Post!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com