Kutekeleza majukumu yote kwa uaminifu na bila shuruti..kujiamini
katika Kila ukifanyacho binafsi na ktk maamuzi ya jumuia..
Kuwa na moyo
wa imani kuwa unao uwezo wa kufanya kitu kipya chochote unachokidhamiria hata kama wapo wameamini ya kuwa haiwezekani...
Kuwa na
tumaini moyoni mwako na kuwa kioo kwa wote wanaokuzunguka..
Uwe na
moyo wa kujitolea kila wakati...kupenda na kuwajali wote na kwa maana
hiyo kuufundisha upendo kwa wengine...
Jiamini na kupigania imani
yako.
Kuwa tayari kutenda kwa wema kwa wengine,na kujifunza na
kutoa kwa wale wenye mahitaji..
Jitolea kwao pasipo fikira na
malengo ya kujipatia ama sifa ama zawadi yeyote.
Jiamini na kutenda na
kufikiri kwa mfano wako wa kipekee bila kupotoshwa ama kutegemea fikra na njia za
watu,kwani hizo zitakupeleka ktk matokeo yao,bali sikiliza
sauti iliyo moyoni mwako ili maisha yako yawe ya mfano kwa watu
wote,na kwa kufanya hivi utawaafundisha wengine kujitambua na kuishi
maisha yao yasiyo ya bandia.. Waunge mkono wote wenye kuhitaji,fundisha kila jambo unalofahamu kuwa ni la manufaa ...Amina
KARIBU SANA
HONGERA KWA KUCHAGUA BLOG HII.MAISHA NI UCHAGUZI...NA KILA UCHAGUZI NI SAHIHI....KILA UCHAGUZI UNA MATOKEO YAKE.......KUCHAGUA KUSOMA YALIYO KATIKA BLOG HII KUTAKUFANYA UJITAMBUE,,UUJUE UWEZO MKUBWA ULIO NDANI MWAKO NA HIVYO KUFIKIA MAFANIKIO UNAYOYAKUSUDIA........WEWE NI ZAIDI YA UJIONAVYO,NI ZAIDI YA UJIPIMIAVYO.....UTATAMBUA YA KUWA MUNGU AMBAYE KILA UCHAO WATU WANAMTAFUTA...YU NDANI MWAKO.....UTATAMBUA KUWA U MWANGAZA.....NA UTATAMBUA JINSI YA KUUTUMIA KUWAMULIKA WENGINE...NA KUIFANYA NURU YA MUNGU ILIYO NDANI MWAKO IONEKANA KWA WENGINE-PONGU JOSEPH
Sunday, January 20
KANUNI YA MAFANIKIO MAISHANI
kwa mwanangu mpendwa
WAY TO SUCCESS