Nuru Ndani Yako

Nuru Ndani Yako
Nuru Ndani Yako
Subscribe For Free Updates!

We'll not spam mate! We promise.

KARIBU SANA

HONGERA KWA KUCHAGUA BLOG HII.MAISHA NI UCHAGUZI...NA KILA UCHAGUZI NI SAHIHI....KILA UCHAGUZI UNA MATOKEO YAKE.......KUCHAGUA KUSOMA YALIYO KATIKA BLOG HII KUTAKUFANYA UJITAMBUE,,UUJUE UWEZO MKUBWA ULIO NDANI MWAKO NA HIVYO KUFIKIA MAFANIKIO UNAYOYAKUSUDIA........WEWE NI ZAIDI YA UJIONAVYO,NI ZAIDI YA UJIPIMIAVYO.....UTATAMBUA YA KUWA MUNGU AMBAYE KILA UCHAO WATU WANAMTAFUTA...YU NDANI MWAKO.....UTATAMBUA KUWA U MWANGAZA.....NA UTATAMBUA JINSI YA KUUTUMIA KUWAMULIKA WENGINE...NA KUIFANYA NURU YA MUNGU ILIYO NDANI MWAKO IONEKANA KWA WENGINE-PONGU JOSEPH

Thursday, January 31

BINADAMU NA USANIFU WA MAISHA YAKE

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Sunday, January 20

KANUNI YA MAFANIKIO MAISHANI

Kutekeleza majukumu yote kwa uaminifu na bila shuruti..kujiamini katika Kila ukifanyacho binafsi na ktk maamuzi ya jumuia.. Kuwa na moyo wa imani kuwa unao uwezo wa kufanya kitu kipya chochote unachokidhamiria hata kama wapo wameamini ya kuwa haiwezekani... Kuwa na tumaini moyoni mwako na kuwa kioo kwa wote wanaokuzunguka.. Uwe na moyo wa kujitolea...

Thursday, January 17

FIKRA ZAKO NA MATOKEO YAKE

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Monday, January 7

WAKATI NI SASA

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Saturday, January 5

ATHARI ZA MSUKUMO WA WANAOKUZUNGUKA

Watu wanaotuzunguka hutusukuma kufikiri na kutenda kadiri ya kanuni  na imani zao na kutufanya kuwa watumwa wa fikra za kimitazamo(picha na www.nlm.nih.gov) Nilikwisha kujadili ni namna gani mafanikio ya mtu yanaanza ndani mwako,   soma zaidi hapa Katika makala hiyo,tunajifunza kuwa kila jambo huanza na wewe.Chochote kinachoanza...

HATUTAMUACHA HATA MMOJA 2013

Tumejifunza mambo mengi kwa mwaka 2012,ambayo yametufanya tutambue sisi ni akina nani na kwa nini tupo hapa duniani.Tumetambua kuwa sisi ndio wasanifu wa maisha yetu wenyewe.Tumejifunza kuwa kila jambo ni jema likitazamwa kwa mfumo chanya na kuwa mambo yote yatokeayo maishani mwetu ni matokeo ya fikra zetu na vitendo vyetu wenyewe...Tumejifunza...