KATIKA MAISHA TUNAPITIA MAGUMU.....tunapitia
kuanguka mara nyingi...tunapitia kukatishwa tamaa,kusengenywa,kutengwa
na hata kudaharauliwa.....tunapitiwa kuumizwa katika
mahusiano,kuachwa,kudhulumiwa nk...haya yote hayana budi kutokea,jambo
la muhimu ni kuwa tunavumilia yote na licha yakuwa tumeanguka mara
nyingi,lakini pia tumesimama mara nyingi...