Nuru Ndani Yako

Nuru Ndani Yako
Nuru Ndani Yako
Subscribe For Free Updates!

We'll not spam mate! We promise.

KARIBU SANA

HONGERA KWA KUCHAGUA BLOG HII.MAISHA NI UCHAGUZI...NA KILA UCHAGUZI NI SAHIHI....KILA UCHAGUZI UNA MATOKEO YAKE.......KUCHAGUA KUSOMA YALIYO KATIKA BLOG HII KUTAKUFANYA UJITAMBUE,,UUJUE UWEZO MKUBWA ULIO NDANI MWAKO NA HIVYO KUFIKIA MAFANIKIO UNAYOYAKUSUDIA........WEWE NI ZAIDI YA UJIONAVYO,NI ZAIDI YA UJIPIMIAVYO.....UTATAMBUA YA KUWA MUNGU AMBAYE KILA UCHAO WATU WANAMTAFUTA...YU NDANI MWAKO.....UTATAMBUA KUWA U MWANGAZA.....NA UTATAMBUA JINSI YA KUUTUMIA KUWAMULIKA WENGINE...NA KUIFANYA NURU YA MUNGU ILIYO NDANI MWAKO IONEKANA KWA WENGINE-PONGU JOSEPH

Tuesday, August 28

TUNAENDELEA MBELE

KATIKA MAISHA TUNAPITIA MAGUMU.....tunapitia kuanguka mara nyingi...tunapitia kukatishwa tamaa,kusengenywa,kutengwa na hata kudaharauliwa.....tunapitiwa kuumizwa katika mahusiano,kuachwa,kudhulumiwa nk...haya yote hayana budi kutokea,jambo la muhimu ni kuwa tunavumilia yote na licha yakuwa tumeanguka mara nyingi,lakini pia tumesimama mara nyingi...

Monday, August 27

NAFASI YAKO HAPA DUNIANI NI YA MUHIMU SANA

Kwa sababu kila mmoja wetu anahitaji kuthaminiwa,kuheshimiwa na kila mmoja anahitaji kuona wengine wanamjali....mioyo yetu haiwezi kuwa na furaha ya kweli kama hatutakuwa sauti kwa wale ambao wanataka kusema lkn hawapati japo nafasi....kuwa faraja kwa wale wenye machozi,kuwa mwangaza kwa wale wanaohitaji nuru ya kuamsha mioyo yao na ari ya kuyaishi...

Saturday, August 25

WEKA JUHUDI KUJITAMBUA WEWE KWANZA

Wapo watu wanaofikiri kwamba yupo mtu ambaye anahusika juu ya uchaguzi wa wanataka kuwa nani,na kuishi maisha ya namna gani...Wapo wanaofikiri kuwa wenzao ni bora kuliko wao...Wapo wanaofikiri kuwa upo wakati utafika watabadilika tu katika kufikiri,kutafakari na kufanya maamuzi pasipo kuweka juhudi binafsi.Nikupe siri moja katika kutafuta mafanikio,jiulize...

Wednesday, August 22

TUNAPATA KILE TUTOACHO

Nakusihi usome kwa makini makala yenye kichwa cha habari.JINSI GANI TUNAPATA TUWAZACHO hapa http://pongujoseph.blogspot.com/2012/07/ni-jinsi-gani-tunapata-tuwazacho.html   kabla ya kusoma makala hii..    Kabla ya kueleza kanuni hii...nitoe mifano miwili           Kwanza kabisa...tafakari pale unapokuwa...

Saturday, August 18

simama kwa ajili ya wengine

Kila mmoja anacho kipaji chake...haijalishi mzee ama kijana...simama kwa ajili ya wengine..wapo wahitaji,wanyonge,walioshuka moyo..wapo waliokata tamaa,simama kwa ajili yao...unaweza kuhisi kuwa wewe si lolote ..lakini ukisimama kwa ajili ya wahitaji.....utapata furaha isiyo kifani.....natamani sana kuona maisha ya wengi ya kibadilika...ninaweza...

Friday, August 17

THAMINI WANAOKUZUNGUKA.

    Nimefanya utafiti na kupata matokeo kwamba katika Jamii nyingi za waafrika,wengi huwa hawapendi kuona wenzao wakifanikiwa..Mtu huchukia kuona mwenzake kaanzisha biashara,kapata ajira,kagundua kitu kipya,yaani kwa kifupi wengi huingiwa na chuki kuona wengine wakinyanyuka.Mfano,mpogoro yupo radhi kumfanyia fitina mpogoro mwenzake asiendelee,Mbena...

Monday, August 13

KUMRADHI

 Karibuni nyote mnaofuatilia blog hii.  Kwa siku kadhaa nilipata shida kuweza kuandika katika blog hii kutokana na tatizo la kiufundi,akaunti yangu ilipata hitilafu na kuingiliwa,nikapata changamoto katika kuandika......nilikuwa nikiumia kwa kuwa furaha yangu ni kuona kuwa kila mara tunajifunza jambo jipya,ni kuona waliokuwa wanakata tamaa...

Tuesday, August 7

MWALIMU BORA

Wale waliopitia ugumu ,milima na mabonde katika maisha yao ni walimu bora,kwa sababu wanajua maana ya kila jambo walilolipitia,wanajua jinsi gani ya kubomoa ukuta wa mipaka ya kufikiri,wanajua kuumizwa,wanajua faraja,wanajua chuki,wanajua amani,wanajua upendo,wanajua kila jambo walilolipitioa si kwa kusoma nukuu tu,bali kwa kuishi na kupambana...

Sunday, August 5

KILA JAMBO LITOKEALO LINA SABABU, KILA JAMBO HUTUFUNZA

     Ni  kweli kwamba kila changamoto itupatayo huwa na sababu...na huwa ni wakati wetu kujifunza mbinu mpya za kufikia pale tunapohitaji kufika...wakati mwingine tunajifunza kutoshikilia sana mambo ambayo yanatuchelewesha kufika tuendako....wakati mwingine tunakumbushwa kuwa kila mlango mmoja ufungwapo,basi hutoa nafasi kwa...

Saturday, August 4

TUJIKUMBUSHE SISI NI NANI.

     Kwa kipindi hiki cha mwisho wa wiki,ningependa tujikumbushe sisi ni nani,anza na wewe,  Kaa sehemu tulivu,kisha funga macho,vuta pumzi taratibu ,sikiliza na kufuatilia mapigo ya moyo wako,kisha jiuliza maswali yafuatayo  mimi ni nani? kwa nini nipo hapa duniani je ni kwa kiasi gani nimetimiza jukumu langu la kuwepo...