Karibuni nyote mnaofuatilia blog hii.
Kwa siku kadhaa nilipata shida kuweza kuandika katika blog hii kutokana na tatizo la kiufundi,akaunti yangu ilipata hitilafu na kuingiliwa,nikapata changamoto katika kuandika......nilikuwa nikiumia kwa kuwa furaha yangu ni kuona kuwa kila mara tunajifunza jambo jipya,ni kuona waliokuwa wanakata tamaa wanaamka upya..ni kuona kuwa wewe na mimi tunakua na kuyafikia mafanikio...
Changamoto zilizotokea zimenifanya niongeze bidii,bila shaka tutafika pale tunapokusudia kufika
KARIBU SANA
HONGERA KWA KUCHAGUA BLOG HII.MAISHA NI UCHAGUZI...NA KILA UCHAGUZI NI SAHIHI....KILA UCHAGUZI UNA MATOKEO YAKE.......KUCHAGUA KUSOMA YALIYO KATIKA BLOG HII KUTAKUFANYA UJITAMBUE,,UUJUE UWEZO MKUBWA ULIO NDANI MWAKO NA HIVYO KUFIKIA MAFANIKIO UNAYOYAKUSUDIA........WEWE NI ZAIDI YA UJIONAVYO,NI ZAIDI YA UJIPIMIAVYO.....UTATAMBUA YA KUWA MUNGU AMBAYE KILA UCHAO WATU WANAMTAFUTA...YU NDANI MWAKO.....UTATAMBUA KUWA U MWANGAZA.....NA UTATAMBUA JINSI YA KUUTUMIA KUWAMULIKA WENGINE...NA KUIFANYA NURU YA MUNGU ILIYO NDANI MWAKO IONEKANA KWA WENGINE-PONGU JOSEPH
Monday, August 13
KUMRADHI
kwa mwanangu mpendwa
No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments:
Post a Comment
maoni yako hapa