Nuru Ndani Yako

Nuru Ndani Yako
Nuru Ndani Yako
Subscribe For Free Updates!

We'll not spam mate! We promise.

KARIBU SANA

HONGERA KWA KUCHAGUA BLOG HII.MAISHA NI UCHAGUZI...NA KILA UCHAGUZI NI SAHIHI....KILA UCHAGUZI UNA MATOKEO YAKE.......KUCHAGUA KUSOMA YALIYO KATIKA BLOG HII KUTAKUFANYA UJITAMBUE,,UUJUE UWEZO MKUBWA ULIO NDANI MWAKO NA HIVYO KUFIKIA MAFANIKIO UNAYOYAKUSUDIA........WEWE NI ZAIDI YA UJIONAVYO,NI ZAIDI YA UJIPIMIAVYO.....UTATAMBUA YA KUWA MUNGU AMBAYE KILA UCHAO WATU WANAMTAFUTA...YU NDANI MWAKO.....UTATAMBUA KUWA U MWANGAZA.....NA UTATAMBUA JINSI YA KUUTUMIA KUWAMULIKA WENGINE...NA KUIFANYA NURU YA MUNGU ILIYO NDANI MWAKO IONEKANA KWA WENGINE-PONGU JOSEPH

Saturday, August 18

simama kwa ajili ya wengine

Kila mmoja anacho kipaji chake...haijalishi mzee ama kijana...simama kwa ajili ya wengine..wapo wahitaji,wanyonge,walioshuka moyo..wapo waliokata tamaa,simama kwa ajili yao...unaweza kuhisi kuwa wewe si lolote ..lakini ukisimama kwa ajili ya wahitaji.....utapata furaha isiyo kifani.....natamani sana kuona maisha ya wengi ya kibadilika...ninaweza kuwa sina fedha lakini daima nitakuwa chanzo cha wengine kuamka na kusimama...wewe unajisikiaje?

 Ninaishi maisha yangu,lakini nikiwatazama walionizunguka,moyo wangu unapata faraja kuwaona wakifanikiwa....nipo kama mimi,lakini nikisimama kwa ajili ya wengine.......nimesimama nikiwa peke yangu lakini kwa kujitolea kwa wengine nasimama kwa mamiolioni...tujitolee maisha yetu kwa ajili ya wengine

Please Give Us Your 1 Minute In Sharing This Post!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 Comments:

Post a Comment

maoni yako hapa