Nuru Ndani Yako

Nuru Ndani Yako
Nuru Ndani Yako
Subscribe For Free Updates!

We'll not spam mate! We promise.

KARIBU SANA

HONGERA KWA KUCHAGUA BLOG HII.MAISHA NI UCHAGUZI...NA KILA UCHAGUZI NI SAHIHI....KILA UCHAGUZI UNA MATOKEO YAKE.......KUCHAGUA KUSOMA YALIYO KATIKA BLOG HII KUTAKUFANYA UJITAMBUE,,UUJUE UWEZO MKUBWA ULIO NDANI MWAKO NA HIVYO KUFIKIA MAFANIKIO UNAYOYAKUSUDIA........WEWE NI ZAIDI YA UJIONAVYO,NI ZAIDI YA UJIPIMIAVYO.....UTATAMBUA YA KUWA MUNGU AMBAYE KILA UCHAO WATU WANAMTAFUTA...YU NDANI MWAKO.....UTATAMBUA KUWA U MWANGAZA.....NA UTATAMBUA JINSI YA KUUTUMIA KUWAMULIKA WENGINE...NA KUIFANYA NURU YA MUNGU ILIYO NDANI MWAKO IONEKANA KWA WENGINE-PONGU JOSEPH

Saturday, August 4

TUJIKUMBUSHE SISI NI NANI.


     Kwa kipindi hiki cha mwisho wa wiki,ningependa tujikumbushe sisi ni nani,anza na wewe,
 Kaa sehemu tulivu,kisha funga macho,vuta pumzi taratibu ,sikiliza na kufuatilia mapigo ya moyo wako,kisha jiuliza maswali yafuatayo
  1.  mimi ni nani?
  2. kwa nini nipo hapa duniani
  3. je ni kwa kiasi gani nimetimiza jukumu langu la kuwepo hapa duniani?
  4. je ninajipenda na kujithamini kwa jinsi nilivyoumbwa?
  5. je,nitakapokuwa tayari kumaliza maisha yangua hapa duniani,ni jambo gani la msingi litakalo nipa furaha na kumbukumbu kwa wengne?
  6. je nimekuwa faida gani katika dunia hii?
  7. kama bado sijafanya chochote,ama siridhiki na maisha niyaishiyo,ntabadilika?lini?kama sio sasa,ni nini inanifanya nisiamue?
  8. je maisha ninayoyaishi si ya bandia?



Please Give Us Your 1 Minute In Sharing This Post!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 Comments:

Post a Comment

maoni yako hapa