Wapo watu wanaofikiri kwamba yupo mtu ambaye anahusika juu ya uchaguzi wa wanataka kuwa nani,na kuishi maisha ya namna gani...Wapo wanaofikiri kuwa wenzao ni bora kuliko wao...Wapo wanaofikiri kuwa upo wakati utafika watabadilika tu katika kufikiri,kutafakari na kufanya maamuzi pasipo kuweka juhudi binafsi.Nikupe siri moja katika kutafuta mafanikio,jiulize unataka maisha ya namna gani,uishi vipi maishani....jiulize kila mara kabla ya kulala,na baada ya kuamka,jikumbushe ....kila siku mpaka pale moyo wako na nafsi yako itakapofanya kuwa kanuni ya msingi,kisha chukua hatua pasipo kutazama pembeni ama wanaokutazama....Acha uiga wengine...wewe ni wa pekee na nafsi yako...maisha ni mwanga,fuata mwanga wako..acha uoga...chagua ujasiri ....amka ,chimba ndani ya moyo wako,chimba ujitambue wewe ni nani.
KARIBU SANA
HONGERA KWA KUCHAGUA BLOG HII.MAISHA NI UCHAGUZI...NA KILA UCHAGUZI NI SAHIHI....KILA UCHAGUZI UNA MATOKEO YAKE.......KUCHAGUA KUSOMA YALIYO KATIKA BLOG HII KUTAKUFANYA UJITAMBUE,,UUJUE UWEZO MKUBWA ULIO NDANI MWAKO NA HIVYO KUFIKIA MAFANIKIO UNAYOYAKUSUDIA........WEWE NI ZAIDI YA UJIONAVYO,NI ZAIDI YA UJIPIMIAVYO.....UTATAMBUA YA KUWA MUNGU AMBAYE KILA UCHAO WATU WANAMTAFUTA...YU NDANI MWAKO.....UTATAMBUA KUWA U MWANGAZA.....NA UTATAMBUA JINSI YA KUUTUMIA KUWAMULIKA WENGINE...NA KUIFANYA NURU YA MUNGU ILIYO NDANI MWAKO IONEKANA KWA WENGINE-PONGU JOSEPH
Saturday, August 25
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Comments:
Post a Comment
maoni yako hapa