Nuru Ndani Yako

Nuru Ndani Yako
Nuru Ndani Yako
Subscribe For Free Updates!

We'll not spam mate! We promise.

KARIBU SANA

HONGERA KWA KUCHAGUA BLOG HII.MAISHA NI UCHAGUZI...NA KILA UCHAGUZI NI SAHIHI....KILA UCHAGUZI UNA MATOKEO YAKE.......KUCHAGUA KUSOMA YALIYO KATIKA BLOG HII KUTAKUFANYA UJITAMBUE,,UUJUE UWEZO MKUBWA ULIO NDANI MWAKO NA HIVYO KUFIKIA MAFANIKIO UNAYOYAKUSUDIA........WEWE NI ZAIDI YA UJIONAVYO,NI ZAIDI YA UJIPIMIAVYO.....UTATAMBUA YA KUWA MUNGU AMBAYE KILA UCHAO WATU WANAMTAFUTA...YU NDANI MWAKO.....UTATAMBUA KUWA U MWANGAZA.....NA UTATAMBUA JINSI YA KUUTUMIA KUWAMULIKA WENGINE...NA KUIFANYA NURU YA MUNGU ILIYO NDANI MWAKO IONEKANA KWA WENGINE-PONGU JOSEPH

Tuesday, July 31

UPENDO,NDOA NA SHERIA

Mwisho wa makala hii utapata kujifunza mambo yafuatayo ni nini na jinsi gani upendo wa dhati HOFU-ADUI MKUBWA WA UPENDO ndoa,furaha,na huzuni katika ndoa-sababu sheria katika upendo na kushindwa kwa sheria kulinda ndoa jinsi gani utaishi maisha ya furaha katika ndoa nafasi yako katika upendo,ndoa. jinsi ya kuifanya ndoa yako idumu na kuwa na mafanikio...

DUNIA INAKUHITAJI

 dunia inakuhitaji uwatazame wenzako kwa huruma,ukijali mahitaji yao,ukiwainua na kuwafanya wajitambue na kujikwamua(picha kwa hisani ya www.viewtz.com) DUNIA HAIITAJI WATU WENYE FEDHA NYINGI,MAGARI,NYUMBA,NGUO NYINGI AMA WENYE UMAARUFU MKUBWA..DUNIA INAHITAJI WATU WENYE KUJITOLEA KWA WENGINE,WENYE UTAJIRI WA UPENDO,WENYE KUUGUZA,KUPONYA,KUAMSHA...

SONGA MBELE.

 KAMA HUWEZI KUPAA,USILALAMIKE,...KIMBIA,  KAMA HUWEZI KUKIMBIE USIKATE TAMAA,TEMBEA......KAMA HUWEZI KUTEMBEA USIBAKI TU UNALALAMA, TAMBAA,ILI MRADI TU KILA SIKU UNASONGA MBE...

Saturday, July 28

AMUA KUBADILIKA AMA KUBAKI ULIVYO

 ni wewe unaeweza kuamua juu ya kubadilikakuyaendea mafanikio AMA kutobadilika na kubaki ulivyo(picha kwa hisani ya mtandao)                       Ni wazi kuwa unatambua kwamba nazungumzia kuhusu kufanya mabadilko ili kuyafikia mafanikio uliyoyakusudia.Mafanikio...

Friday, July 27

UTAMBUE UHURU WA KUCHAGUA USIO NA MIPAKA

Je wewe unafahamu nini kuhusu uhuru alionao binadamu katika kuchagua,?Je binadamu amewekewa mipaka katika kuchagua maisha(aina ya maisha na jinsi atakavyoishi)?Mazingira yana athari gani kwa binadamu katika kufanya uchaguzi?  BINADAMU TUMEPEWA UHURU WA KUCHAGUA NA UHURU WA MAWAZO USIO NA MIPAKA    ...

...

Tuachane Na Fikra Za Malalamiko, Upanuliwe Wigo Katika Ubunifu Na: Meshack Maganga, Mjengwablog-Iringa. Rais wa enzi hizo wa taifa la Marekani Theodore Roosevelt (Oktoba 27, 1858- Januari 6, 1919) alipata kusema, “What we need is more people who specialize in the impossible”, kwa tafsiri isiyo rasmi ya Kiswahili ni kwamba,...

Thursday, July 26

KUMBUKA YAFUATAYO UNAPOPATA HOFU NA KUVUNJIKA MOYO

 Upo wakati ambapo tumnapita katika magumu ,huwa tunafika wakati tunashindwa kujitambua,na wakati mwingine tunapatwa na msongo mkubwa wa mawazo hata tunakata tamaa.Kila wakati jitazame ndani mwako,usome uwezo wako ulio ndani mwako...utaondoa hofu,woga na kukata tamaa.Jikumbushe ya kuwa wewe u bora vile ulivyoumbwa.....wewe ni bora kwa sababu zifuatazo   ...

Wednesday, July 25

HEKIMA.

Upo wakati ambao tunawalaumu wengine kwa matatizo yetu wenyewe ,lakini hakika,ukijitambua utajua ya kuwa wewe ni kiongozi wa maisha yako, utatambua kuwa wewe ni chemchem ya kila jambo,utaweza kuchanganua lipi la kushika,lipi la kuachia,utakwenda sambamba na mdundo wa maisha yako. utasimama na daima utakuwa na furaha maishani...... Wakati mwingi maishani,tunatengeneza...

Monday, July 23

KWANGU MAFANIKIO NI.........

   UPENDO HUSHINDA YOTE PICHA KWA HISANI YA MTANDAO sihesabu  mafanikio katika maisha yangu kwa  kuhesabu idadi ya  namba za wale wanaonipigia simu,ama wale nliopata kuwa nao,nisiokuwa nao na nilio nao,sihesabu ni fedha kiasi gani nlichonacho,ama mimi ni wa daraja lipi,sihesabu nguo nlizonazo,ama ni vyuo gani na...

SIKILIZA SAUTI YA MOYO WAKO

Kabla ya kuanza kusoma makala hii,nakusihi uifanye huru fikra yako,fungua fikra zako,usifungwe na imani na mafundisho fulani ili usiathiri uelewa wa makala hii(your mind may become your great enemy,so empty it) ......Pili uwe huru kutafakari ndani ya moyo wako na kuuliza.  Simaanishi unachoamini wewe ni uongo nami nnaandika ukweli.Jambo haliwi...

...

SHUKRANI

    SHUKRANI KWA KUJALI NA KUTHAMINI Kila binadamu huhitaji kutambulika na kila mmoja wet u hufurahi kuona ya kuwa wengine wanamjali na kuthamini mchango wake.....kile anachokifanya,ama kukisema.......kwa kutambua hili,nachukua  nafasi hii kutoa shukrani zangu za dhati kwa wale wote ambao wamekuwa wakitembelea blog hii.  ...

Friday, July 20

MAADUI WAKUU KUFIKIA MAFANIKIO

Mafanikio ni kutimiza jambo lolote lile ambalo umelipangilia na kuamua kulitenda kwa dhati.Kuyafikia mafanikio kunahitaji kujitolea,kutenda kwa moyo wote na kwa nguvu zote...ukitilia mkazo lengo(malengo) uliyoyaweka. Ikiwa umekuwa ukifuatilia makala hizi,utakuwa umeanza kujitambua wewe ni nani na hata kuanza kuchukua hatua stahili kuyainua maisha...

Wednesday, July 18

WEWE NI BORA JINSI ULIVYO,

i mwanariadha maarufu wa afrika ya kusini,Oscar Pistorius WEWE NI ZAIDI YA UJIONAVYO....ULEMAVU NI FIKRA ZAKO . Ni wakati mwingine wa kujitambua,sisi ni akina nani na tunakwenda wapi,na tunawezaje kwenda tuendako.....,Leo hii tukijadili kwa undani,uwezo tulionao,tusioutambua..Na mwisho tutatambua ya kuwa,ulemavu unaotambulika wa viungo si kitu,bali...