upendo ni lugha ya moyoni,ni lugha ambayo kila kabila,kila taifa na kila kiumbe huitambua,imepita maneno na maandishi,juu ya ubaguzi,juu ya dini juu ya siasa....na kila atoaye hupendo,hulipwa upendo
‘Niite’ Fyatu Mfyatuzi Nchonga Kambarange Nyerere
10 hours ago
0 Comments:
Post a Comment
maoni yako hapa