upendo ni lugha ya moyoni,ni lugha ambayo kila kabila,kila taifa na kila kiumbe huitambua,imepita maneno na maandishi,juu ya ubaguzi,juu ya dini juu ya siasa....na kila atoaye hupendo,hulipwa upendo
Tulaani mabeberu mabarubaru na maburebure
2 days ago










0 Comments:
Post a Comment
maoni yako hapa