Nuru Ndani Yako

Nuru Ndani Yako
Nuru Ndani Yako
Subscribe For Free Updates!

We'll not spam mate! We promise.

KARIBU SANA

HONGERA KWA KUCHAGUA BLOG HII.MAISHA NI UCHAGUZI...NA KILA UCHAGUZI NI SAHIHI....KILA UCHAGUZI UNA MATOKEO YAKE.......KUCHAGUA KUSOMA YALIYO KATIKA BLOG HII KUTAKUFANYA UJITAMBUE,,UUJUE UWEZO MKUBWA ULIO NDANI MWAKO NA HIVYO KUFIKIA MAFANIKIO UNAYOYAKUSUDIA........WEWE NI ZAIDI YA UJIONAVYO,NI ZAIDI YA UJIPIMIAVYO.....UTATAMBUA YA KUWA MUNGU AMBAYE KILA UCHAO WATU WANAMTAFUTA...YU NDANI MWAKO.....UTATAMBUA KUWA U MWANGAZA.....NA UTATAMBUA JINSI YA KUUTUMIA KUWAMULIKA WENGINE...NA KUIFANYA NURU YA MUNGU ILIYO NDANI MWAKO IONEKANA KWA WENGINE-PONGU JOSEPH

Tuesday, July 3

ISHI MAISHA YAKO HALISI

Kwa nini unasikitika kuwa vile ulivyo,kwa nini unatamani kuwa na mwonekano kama WA MTU FULANI...kwa nini unatamani kuiga fulani ili uwe maarufu ama ufanane nae?hii ni dalili ya kutotambua wewe ni nani..... wewe ni wa pekee,hakuna aliye kama wewe,hakuna mwenye kipawa kama ulichonacho,hakuna mwenye mfano wako....wewe ni wa kipekee toka kuumbwa kwako.....ni zaidi ya sura unayoitazama na kulaani ni kwa nini upo vile ulivyo.....tambua kuwa ndani mwako wewe ni zaidi ya hivyo ulivyo...ndani yako kuna uwezo mkubwa sana wa kutimiza kila jambo unalolihitaji...... vivyo hivyo ndivyo mungu kakuumba ukiwa wa kipekee...kakupa uwezo wa kila jambo ulitakalo...kakupa na uhuru wa kuchagua jtambue sasa na uyaishi misha uliyokusudia....amua leo ya kuwa utajikubali ulivyo na kusimama wewe ,kuishi maisha yako yaliyo halisi,kwa upendo huku ukitimia yote kwa nguvu zako zote,moyo wako wote ....hakikisha unasimama katika dira uliyojiwekea..pambana hata mwisho..na hakika utapata furaha ya kweli..katika maisha hakuna vita kubwa utakayokutana nayo kama ile utakayopigana kuwa wewe na kuishi maisha yako,kwani kila wanaokuzunguka wanataka uchague maisha wanayoyataka wao....tambua ya kuwa wao wanao pia uhuru wa kuchagua....wana uhuru wa kuishi maisha yao........ kuwa wewe,kuwa halisi,kuwa mdadisi na mvumbuzi ,kuwa wa pekee ilio pale utakapo maliza safari yako hapa duniani,dunia ikulilie nao wakaao ndani yake wakulilie,si kwa sababu ya kufa kwako,bali kwa alama yako iliyotukuka,iliyojaa upendo na thamani kwa bina damu wote....iliyojaa somo ya kuwa...hakuna kisichowezekan kwa binadamu na kwamba mafanikio huja tu pale mtu anapoamua kutembea ktk njia yake ambayo wengine walisema haiwezekani KUWA HALISI..ISHI MAISHA YAKO HALISI

Please Give Us Your 1 Minute In Sharing This Post!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 Comments:

Post a Comment

maoni yako hapa