Nuru Ndani Yako

Nuru Ndani Yako
Nuru Ndani Yako
Subscribe For Free Updates!

We'll not spam mate! We promise.

KARIBU SANA

HONGERA KWA KUCHAGUA BLOG HII.MAISHA NI UCHAGUZI...NA KILA UCHAGUZI NI SAHIHI....KILA UCHAGUZI UNA MATOKEO YAKE.......KUCHAGUA KUSOMA YALIYO KATIKA BLOG HII KUTAKUFANYA UJITAMBUE,,UUJUE UWEZO MKUBWA ULIO NDANI MWAKO NA HIVYO KUFIKIA MAFANIKIO UNAYOYAKUSUDIA........WEWE NI ZAIDI YA UJIONAVYO,NI ZAIDI YA UJIPIMIAVYO.....UTATAMBUA YA KUWA MUNGU AMBAYE KILA UCHAO WATU WANAMTAFUTA...YU NDANI MWAKO.....UTATAMBUA KUWA U MWANGAZA.....NA UTATAMBUA JINSI YA KUUTUMIA KUWAMULIKA WENGINE...NA KUIFANYA NURU YA MUNGU ILIYO NDANI MWAKO IONEKANA KWA WENGINE-PONGU JOSEPH

Tuesday, July 3

ELIMU ILIYO BORA

hakuna elimu iliyo bora kama elimu imfanyayo mtu kujitambua yeye ni nani,anatoka wapi na anakwenda wapi....tofauti na elimu zingine zinazofanya BINADAMU akariri mambo waliyoyafanya wengine,nakumfanya aishie pale walipoishia hao(kwa maneno mengine kupita katika njia ileile walopita hao waliotangulia),elimu hii humfanya mtu awe na uhuru wa kufikiri usio na kikomo....na kumfanya binadamu kufanya mambo makubwa na yasiyo na ukomo,ili nuru iliyo ndani mwake,ionekane kwa wengine,ili nao wajitambue......elimu hii ipo ndani mwa kila mmoja pale anapopiga hatua moja na kuamua kuishi maisha yake halisi..kutimiza yale ambayo moyo wake unamtuma...akipanda milima,mabonde,tambarare,katika nyakati za kuumia,kuanguka na kuamka.....na mwisho kujitambua ya kuwa hakuna uchawi wala ujanja.,..bali kila kitu ki ndani mwake.....kwa wale wanaomfahamu Yesu ama kusoma habari zake(yesu kristo wa nazareti),ambaye alichukua hatua...akaishi maisha yake ...pasipo ubandia...akaipanda milima,mabonde,magumu,akababa kila lawama....lakini alitaka kufundisha jinsi ya kufanya maamuzi ambayo hutufanya tujitambue....hii ndio elimu kubwa aliyotaka tuifahamu

Please Give Us Your 1 Minute In Sharing This Post!
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →
Powered By: BloggerYard.Com

0 Comments:

Post a Comment

maoni yako hapa